Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,024
- 26,389
Taratibu watatokea wengine kibao watamnanga jiweAlianza mzeevWasira akasema baada ya jiwe kutwaliwa sasa watanzania wanapumua
Akafuata mzee Diallo akasema jiwe alipaswa kuwa Milembe.
Sasa amekuja Bulembo anasema sasa watu Wana Uhuru wa kusema na diplomasia iliyoharibiwa na jiwe mama anaijenga upya.
Nani atafuata?