Kaa kimasta kijana, hisia sio mzigo mzuri kwako

Niongeze jambo hapo mkubwa

Ukitaka maisha yako yakunyookee, usiogope kuwa strict katika mambo yote ya msingi bila ya kuvunja sheria za nchi. Kamwe! Usitake kusifiwa kwa kuwapendeza watu ili hali unafahamu dhahir kabisa madhara yatakayokutokea baada ya muda fulani.
Achana na mambo ya kujifanya uonekane ni gud person. Do what is always right.
Bonge ya point....
 
Back
Top Bottom