JWTZ liwe na kitengo cha elimu kwa raia, kuna upotoshaji mkubwa kulihusu

maana ya neno ulinzi sio kuua,wala wanajeshi hawafundishwi kuua usiwe kama kasuku unabeba kauli jumla jumla.
Ulinzi wa jeshi katika nchi yake ni uwepo wake kwanza,kuua hayo sio malengo ya jeshi,hujiulizi kwanini kabla ya vita kuna hatua nyingi tu zinatakiwa zipitiwe kabla ya kufika huko??kwa sababu hiyo ni hatua ya mwisho kabisa kunyanyua silaha na kuua mtu mwingine.
Isijekuwa hata mnavyosikia jeshi linalinda katiba mnadhani limekaa na hicho kitabu pale ngome mtu asiibebe.
Au linasubiri mtu aivunje tu limuue kama mbu,NO.

Mtazamo huo wa abiria na wananchi wengi hauko sahihi,elimu ya zaidi inahitajika kabisa,
Konda wa daladala anayeona gwaride la askari wa navy ktk TV anasema ni traffic police hawezi kuwa na uelewa wa jambo kama hili sawa sawa.
Hakuna mahali nimesema malengo makuu ni hayo but unawezaje linda nchi if you are not capable of that?
I mean especialy maadui zako they are capable of doing so?

But one thing lengo si kuuwa wananchi, they suppose to be capable to do so, otherwise mafunzo yao yasingehusisha mafunzo vita
 
Hakuna mahali nimesema malengo makuu ni hayo but unawezaje linda nchi if you are not capable of that?
I mean especialy maadui zako they are capable of doing so?

But one thing lengo si kuuwa wananchi, they suppose to be capable to do so, otherwise mafunzo yao yasingehusisha mafunzo vita
Mkuu polisi wanalinda usalama wa raia na mali zao, katika kutimiza hayo majukumu wakati mwingine huwa wanaua watu ila huwezi kusema kuua watu ni malengo ya polisi hata kama wanaweza na hufanya hivyo.
 
Hakuna mahali nimesema malengo makuu ni hayo but unawezaje linda nchi if you are not capable of that?
I mean especialy maadui zako they are capable of doing so?

But one thing lengo si kuuwa wananchi, they suppose to be capable to do so, otherwise mafunzo yao yasingehusisha mafunzo vita
Hata wewe unaweza kuua mtu,achia mbali ukipewa silaha.hilo ni jambo jingine kabisa,hujafundishwa na mtu na ukawa kiumbe hatari X 10 kwa huyo unayemsemea kafundishwa kuua tu.

Narudi pale pale,uwezo wa jeshi la nchi kulinda haufanyiwi tathmini kwa uwezo wa kuua,basi hivyo makundi ya waasi yangekuwa ni majeshi bora sana.maana yenyewe ni kuua tu.
Bali uwezo wa jeshi kulinda unafanyiwa tathmini mtazamo wa wanajeshi/jeshi(uzalendo) ktk jukumu lao,idadi yao,na vifaa lakini kwa umuhimu kabisa nidhamu/utii wao.

Mwanajeshi anayeua nje ya vita ni mgonjwa wa akili kama wagonjwa raia wengine,yasihusishwe mafunzo yake.
 
Mkuu polisi wanalinda usalama wa raia na mali zao, katika kutimiza hayo majukumu wakati mwingine huwa wanaua watu ila huwezi kusema kuua watu ni malengo ya polisi hata kama wanaweza na hufanya hivyo.
Kuna mtu kule juu nilimwambia aongee na askari waliotoka mission za amani,wale ndio wanajua kumbe mwanajeshi hajawa trained ili kuua mtu ni kumlinda tu.
 
Kwa wasioelewa kuwa jeshini kuna kila aina za kazi na sio bunduki tu huo ni upotoshaji sana

Jeshini kuna huduma nyingi na kuna wengine zaidi ya salute 🫡 wana mengine mengi ya kufanya
Kuna hospital zao kuna maofisi kuna military police, hata madereva
Sasa mtu anasema kazi yao ni kuuwa mbona kwenye maafa wanakuja kuokoa watu hata madaraja yakikatika tunaona wajeda wanasaidia pia kama sio Bongo basi duniani wajeda wana kazi nyingi sana zaidi ya kuuwa

Kuna wengine hawana bunduki bali kalamu tu
 
Mkuu polisi wanalinda usalama wa raia na mali zao, katika kutimiza hayo majukumu wakati mwingine huwa wanaua watu ila huwezi kusema kuua watu ni malengo ya polisi hata kama wanaweza na hufanya hivyo.
Police ana majukumu tofauti na TPDF. Although kwa police wana rule kwamba when muhisika akijaribu kukudhuru, or akaidi kuwa chini ya ulinzi na kushambulia kwa lengo la kudhuru the hapo lazima waondoke nao
 
Police ana majukumu tofauti na TPDF. Although kwa police wana rule kwamba when muhisika akijaribu kukudhuru, or akaidi kuwa chini ya ulinzi na kushambulia kwa lengo la kudhuru the hapo lazima waondoke nao
Hata majeshi huwa yana "rules of engagement"
 
Hata wewe unaweza kuua mtu,achia mbali ukipewa silaha.hilo ni jambo jingine kabisa,hujafundishwa na mtu na ukawa kiumbe hatari X 10 kwa huyo unayemsemea kafundishwa kuua tu.

Narudi pale pale,uwezo wa jeshi la nchi kulinda haufanyiwi tathmini kwa uwezo wa kuua,basi hivyo makundi ya waasi yangekuwa ni majeshi bora sana.maana yenyewe ni kuua tu.
Bali uwezo wa jeshi kulinda unafanyiwa tathmini mtazamo wa wanajeshi/jeshi(uzalendo) ktk jukumu lao,idadi yao,na vifaa lakini kwa umuhimu kabisa nidhamu/utii wao.

Mwanajeshi anayeua nje ya vita ni mgonjwa wa akili kama wagonjwa raia wengine,yasihusishwe mafunzo yake.
Kuua sio simple kama alivyoandika hapa, bot everybody can kill in the name of the flag. especialy unapodili na adui ambae ana uwezo kama wako au kakuzid uwezo
Then you are outdated, currently wave uwezo effectiveness ya jeshi inapimwa with how effective kwenye ulinzi wa mipaka yao( na majukumu mengine ya msingi) or kwenye field ( uwanja wa vita) where ubobezi wao ulipo.

Ni majeshi mangapi yana vifaa na so called uzalendo but rebels tu wanawahangaisha?
 
Kuua sio simple kama alivyoandika hapa, bot everybody can kill in the name of the flag. especialy unapodili na adui ambae ana uwezo kama wako au kakuzid uwezo
In the name of flag,anyone is trained to kill,hata mapolisi na usalama wa taifa wanaua watu kwa ngao hiyo hiyo,USALAMA ama ULINZI.
mbona hatuwabebi kama watu ambao ni wa kuwakwepa maana ni wa kuua muda wote!!!!
Then you are outdated, currently wave uwezo effectiveness ya jeshi inapimwa with how effective kwenye ulinzi wa mipaka yao( na majukumu mengine ya msingi) or kwenye field ( uwanja wa vita) where ubobezi wao ulipo.
Ndio maana nikasema sio kuua,that is why tuko safe na hakuna mwanajeshi anayeua mtu saa hizi japo anatulinda.
Ni majeshi mangapi yana vifaa na so called uzalendo but rebels tu wanawahangaisha?
Sasa watu ambao wako trained kuua ni rebels,hawana sheria wala miiko,ni kuua yeyote tu wakihitaji kufanya hivyo.
 
Maaskari wa JWTZ wanapenda kufanya fujo mtaani na ubabe wa kipumbavu.

Binafsi niliwahi kupigwa na maaskari wa JWTZ bila sababu YEYOTE.

Siku nchi ikiingia kwenye changamoto ya kiusalama tutanguna na adui kuwapiga miti hawa malimbukeni.

Nakuunga mkono moja kwa moja, mimi binafsi naisubiri hiyo fursa
 
Hii ni siasa kabisa.

Wananchi wao ndio wanauwezo pekee wa kuamua nchi yao iendeshwe vipi ? Iwe wapi au ilindwe vipi ?

Kitu chochote kile wananchi wasipo kubaliana nacho hata kama jeshi likipinga halina uwezo wa kuzuia.

Majeshi yenyewe hata robo za population huwa hayafiki una utani na population ya wananchi.

Serikali nyingi tu duniani zimeangushwa pamoja na majeshi yake.

Ufaransa, China hii ni mifano ya haraka zaidi tena hao wachina ndio wananchi waliitandika serikali na jeshi lake na kuunda serikali yao hii unayo iona sasa hivi.

Jeshi sio chochote mbele ya wananchi, wananchi wao ndio wamebeba roho ya nchi siku wakivurugwa hata jeshi halitaweza zuia mafuriko ya wananchi.

Ni muhimu jeshi kuheshimu wananchi tena kuwaheshimu sana siku wakicharuka watazikimbia hizo kambi nakuambia.

Nafikiri mkuu hujui maana halisi ya jeshi na hujui kwa nini lipo.
Jeshi ndio serikali yenyewe
 
Hivi unajua kuna nchi hazina jeshi kabisa???
Jeshi sio nchi,nawewe ni muumini wa zile story za rais akitoka nchini anamwachia nchi CDF!!!!

Hakuna nchi isiyo na jeshi Mkuu.
Unazungumzia familia au jamii isiyo na serikali. Ukishasema serikali jua umetaja jeshi.
 
Elimu gani
Kuhusu nini
Itolewe wapi
Ni ukweli upi unao ujua wewe ?
Mafunzo ni kwa ajili ya mapigano( Vita).
 
Back
Top Bottom