Juma Nature: Tunalipa michango ya Ulinzi Shirikishi, kwa nini bado tunaibiwa Mitaani

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,036
1,665
Kupitia akaunti yake katika Mtandao wa Instagram, Mwanamuziki Juma Nature amepost Video akizungumzia suala la Ulinzi Shirikishi maarufu kama Sungusungu au Makamanda na Usalama wa Mitaani

Nature amehoji kuwa kwanini licha ya Wananchi kuchangishwa fedha za Ulinzi, bado vitendo vya Wizi wa Mitaani vinaendelea?

Aidha ametoa wito kwa Serikali kutoa Vitambulisho au Sare maalumu kwa vikundi vya Ulinzi Shirikishi ili kuwatambulisha akitoa mfano wa wapo Watu wanaojifanya kuwa Askari ambao hukaba na kuiba

 
Ikiwa wizi unaendelea hapo ni wanakaa na serikali ya mtaa Kisha wanaangalia tatizo ni Nini na wafanyaje maana wezi huwa wanajulikana hasa kwa dar na wanapetiwa petiwa hasa hiyo mitaa ya mbagala na temeke mikoroshini
 
Sasaa itakuwajee maana na hawa waliopo serikali c ndio wezi kbs ,sema wanatumia kalamu wao hvyo cc wanachi tunashindwa kuwadakaa.

IMG-20240403-WA0006.jpg
 
Kupitia akaunti yake katika Mtandao wa Instagram, Mwanamuziki Juma Nature amepost Video akizungumzia suala la Ulinzi Shirikishi maarufu kama Sungusungu au Makamanda na Usalama wa Mitaani

Nature amehoji kuwa kwanini licha ya Wananchi kuchangishwa fedha za Ulinzi, bado vitendo vya Wizi wa Mitaani vinaendelea?

Aidha ametoa wito kwa Serikali kutoa Vitambulisho au Sare maalumu kwa vikundi vya Ulinzi Shirikishi ili kuwatambulisha akitoa mfano wa wapo Watu wanaojifanya kuwa Askari ambao hukaba na kuiba

View attachment 2952908
MZIKI WAKE UNAPENDWA NA WEZI HAKUMBUKI ILO
 
Mbona Polisi wapo. Na Matukio bado yapo?

Na hiyo michango kwani bei gani?
Polisi wanalava area kubwa,na ndio sababu ya kuanzishwa ulinzi shirikishi kila mtaa ili specifically kuwasaidia polisi inapobidi.Sasa walinzi shirikishi wapo mtaani,hakupaswi kutokea wizi kabisa kwenye mitaa yenye ulinzi shirikishi.
 
Mi nishawaulizaga Nikiiibiwa nani anakua responsible na kunilipa?? Coz nimewaajiri na ninawalipa
 
Huko mtaani kwao kuko hivi, katika vijana kumi, 7 ni wezi. Kwa population hiyo unategemea wz utakoma?
 
Ulinzi shirikishi lilikuwa wazo zuri kuanzishwa kwake lakini baadae ikawa ni fursa kwa polisi na uongozi wa serikali za mitaa kuwatumia walinzi hao kama "Nyungu" pia kukaba na kupora na kisha kujifanya walinzi wa usalama.
 
Back
Top Bottom