Hawamwamini. Wanajua akishindanishwa hata na Baba LeVo anadondoshwa𝐇𝐚𝐰𝐚𝐣𝐢𝐚𝐦𝐢𝐧𝐢.
Na kwa nini iwe fomu moja tu! Kwa akili na mitazamo ya aina hii, haihitaji mtu kuwa na akili nyingi kugundua ya kuwa hata ndani ya hiyo ccm yenyewe hakuna kitu kinachoitwa demokrasia.
Hakuna mwenye ubavu wa kupingana na Mwenyekiti ndani ya Ccm kwa sababu Mwenyekiti ndiye pia ni Mkuu wa Nchi na ndiye Mkuu wa Majeshi yote ya Nchi !Duh,kazi kwenu mnaotaka kugombania
Ova
"Utii Ukizidi Unakuwa Woga, na Uoga Huzaa Unafiki na Kujipendeza"Jokate alikua ana akili sana alijitambua,
Tokea aingie Ccm akili zimeyeyuka..!
ExactlyHao wanaoongea kuhusu fomu moja wanaongea kwa kujipendekeza kwa Mwenyekiti tu ili wafikiriwe zaidi ya kile walichokwisha kupewa !
Mlamba Matako ndio nani? Usijesema wanasegana na kulambana MatakoNdio kilichobaki.Utategemea nini tena kutoka kwa mlamba matako.
Baba Levo?Hawamwamini. Wanajua akishindanishwa hata na Baba LeVo anadondoshwa
Hawamwamini. Wanajua akishindanishwa hata na Baba LeVo anadondoshwa
Wameachia nafasi kwa chama cha demokrasia na maendeleo. Huko nako kuna wagombea, siyo lazima atoke CCM.Kwanini CCM wanatumia nguvu kubwa kutaka Samia ndio awe mgombea...... inaonekana hata humo ndani hawamuamini kiutendaji.........
Kwanini fomu iwe moja.....kwanini asishindane kama ilivyo taratibu......ipo wapi demokrasia
Kwani lazima rais atoke ccm?Kwani tangu lini ilikuwepo ??!
Ikiwa hata mawazo mbadala tu hutakiwi kuyatoa hadharani ! Hiyo itaitwa ni demokrasia ??!
Huyo Jokate ukimuangalia hapo kwenye picha sura yake imeshakuwa ya kikatili ! Ndivyo wanavyotakiwa kuwa hivyo !
Hakuna Demokrasia ipo Domokasia !
Ukiongea tofauti na wanavyotaka kusikia utashughulikiwa !!
Hoja sio kuwaachia wengine hoja ni kwamba je huo ndio utaratibu wa chama....??R
Wameachia nafasi kwa chama cha demokrasia na maendeleo. Huko nako kuna wagombea, siyo lazima atoke CCM.
Sio lazima !Kwani lazima rais atoke ccm?
Ngoja tuone hii movie 🎥 itaishaje !CCM Imepasukia Ndani Humo Humo Ila Naamini Mwakani 2025 Watafukuzana Sana Sana
Wapo Wanaowa~Zoom Hao Form Moja, Wanasubiri Muda Wateme Nyongo U~Rais Unatakiwa Na Wote
Utaratibu wa CCM kila awamu ni kwamba the sitting President hupita bila kupingwa Chamani !!Hoja sio kuwaachia wengine hoja ni kwamba je huo ndio utaratibu wa chama....??
Hupita bila kupingwa baada ya kupigiwa kura au kwa kupewa.....??Utaratibu wa CCM kila awamu ni kwamba the sitting President hupita bila kupingwa Chamani !!
Ni kwanini utaratibu huo ubadilike hivi sasa ??
Au ni kwa sababu ya Jinsia au kwa kuwa ametokea upande wa pili wa Muungano. ???!!
Why NOW ??!!!!! 🙏🙏🙏