Jiulize nampa yote au nusu nusu

Surya

JF-Expert Member
Jun 7, 2015
8,409
12,642
Saikolojia ya mapenzi kwa dakika chache bila kukuboa.
Binadamu tunaishi kujifunza na kutumikia matamanio ya miili yetu hasa starehe ya mapenzi. umaarufu and power ni nyongeza hisio ya msingi sana kwa watu wengi.

Starehe zote za duniani zinapitia katika, kuona (Macho), Kinywani, Pua, Ngozi, Masikio.

Ni furaha kuishi Nyumba yenye chakula cha kutosha

Man desire

Matamanio ni mengi sanaaa

Mapenzi.
Mapenzi ndio starehe pekee ambayo inagusa milango yote mitano ya fahamu kwa wakati mmoja,
na ndio sababu ni ngumu sana kuacha, ukishajua tu utamu wa Mapenzi mwili unakua unataka na kutaka tena... zaidi na zaidi

Angalia, mtumiaji wa singara alianza taratibu tu akitafuta burudani ya singara lakini wengi wanashindwa kuacha

Je si hatari zaidi Mapenzi ambayo yanasisimua mwili na milango yote ya fahamu ya binadamu.
Mapenzi ni Ajabu.
Hata uwe unajiheshimu vipi na mstaarabu vipi, Mapenzi au ngono haitaki ustaarabu sana na upole.

Nije kwenye swali langu:
Unampa mwenzio yote au nusu nusu?

Sad story:
First date with somebody, ilikuwa hivi...
Tulitoka out na Mpenzi, tukala tukanywa bibie alikuwa mchangamfu kama mimi, she use beir 🍻
Tukaongea tukacheka nikampa ahadi nyingi,
Nikampeleka Geto, hadi kitandani.. she knows she is going to sex with me...
Sasa matatizo yakaanza,, ni mimi ndio namtomasa, namkiss sehemu tofauti tofauti, i love neck kiss
namshika shika sehemu mashuhuri, mwenzangu yupo tu anaenjoy utamu,
i kiss her and i kiss her
and i touch her
hadi akalowa vizuri, during sex nikawa namwambia maneno mazuri...
nakumbuka mwisho utamu ulipomkolea ndio nikaona support yake kidogo..

Lakini nilitamani tufanye zaidi na zaidi, i am a good kisser lakini sipendi kuonekana mimi ndio wa kwanza kutaka kumkiss kila wakati,
Sawa Niliamua kuwa mwalimu wa Mapenzi kwa Mwenza wangu lakini bado alifanya nilichomwambia bila juhudi na wakati mwingine ikaanza kupelekea kuvuruga match ikaisha wakati usio sahihi.

Labda niseme hivi

Hiki ndicho kipimo cha kujua kuwa Unapendwa na mwanamke wako na anahisi na wewe... kimwili na kiakili.
Aonesha anataka zaidi ya wewe unavyotaka, kama mimi ndio boss nakulisha nakuvisha...
Nikikukiss mala moja unatakiwa unikiss mala 2,
Nikikunyonya mala moja unatakiwa kuninyonga mala 5
Mbali na hapo your a zero Romantic.
Milango yote ya fahamu itumike..
pua: nukia vizuri,
sauti: Ongea lugha nzuri ya mapenz, Sema unataka na una hamu ya kut*mbona
Ngozi, wanaume uwa tunaficha trako lakini kwenye mizagamuo mwanamke akikushika tako wala hukatai tena ndio anakuvuruka kabisa

Ewe Mwanamke unatakiwa umshike mwenzi wako, shika mbupu zake mpaka akiondoka hapo awezi kukusahau kirahisi akikumbuka ulivyo mshurutisha kumwaga oil bila kukusudia.

Mapenzi sio Kuchomekewa na kuchomoa tu,
Sex need skills
Marriage is a skills, Mwanaume usikurupukie ndoa Itakushinda.

By, mr. Ip_kiss
 
Ukiona unafanya yote yeye anafanya zero, inaboa sana na huenda ukawaita waajemi waje umalizane na hiyo shughuli. It's boring to fvck if there's no passion/love between you.
 
Back
Top Bottom