Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 1,339
- 1,292
Wewe ni umughaka.Jioni nikitoka kazi, tunaendelea.
Bodaboda wa mbweni lazima Goba unaifahamu vyema
Wewe ni umughaka.Jioni nikitoka kazi, tunaendelea.
Namimi naamini hivyo , kuona vile vilio na makovuItakua big kamchinja mkewe ,hivyo anaamisha kimya kimya nyama yake
Nishaiona mkuu shukrani sana!Hivi masai dada Bantu Lady Bujibuji Simba Nyamaume Antonnia Lovelovie Ambiele Kiviele Ushimen wameiona hii?
Atamfikia masta kweli?New story in town!
Kwaheri Umughaka, karibu Steve.
Kuna sehemu anakuambia alipanda dirishani kwake ili awaambie walio ndani wamfungulie. Je,na hapo hajaihusisha familia yake?Siyo kuizungumzia tu. Kwenye simulizi zake za maisha yake pale haionyeshi popote kama familia yake ilikuwwpo pale.
Siyo kuizungumzia tu. Kwenye simulizi zake za maisha yake pale haionyeshi popote kama familia yake ilikuwwpo pale.
Umewaza nje ya boxMimi nahis mke wa big ni mwanaume kajifanya kama mwanamke
tulia dogoKwahiyo tivu kule kwengine inakuwaje eti
umenikumbuka thnx nimefika