WaTZ wengi hatulipi kodi kwa sababu ya upuuzi wa watumishi wa TRA. Nimeamua kwenda TRA kujisalimisha nilipe kodi, ukifika mtu anataka kumalizia shida zake zote kwako. usipompa kitu kidogo, utajuta kwa nini umekuwa muungwana wa kujipendekeza kulipa kodi
hahaha, nilikwenda pale kusajili tin, nikaambiwa nije na risiti ya malipo ya kodi ya miezi 4 nyuma ambayo sikufanya biashara. You knw what i did, niliamua kuachana nao, nikawasusia na litin lenyewe! Ndo maana wtz tunapat shida kulipa kodi! Ooh!