financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,171
- 40,827
P
Ooh kama hadi umechukua na kasura ka bimkubwa utakua handsome bana, haupo kweli list ya sura personal😂😂hahahaha, tatizo me mpenzi wa movie movie, hayo maswala ya ngumi live me sio shabiki sana, Ndio nimemuona hata kwenye uzi wa mshana ule wa vichekesho, but huyo bondia amenizidi kidogo maana nimechanganya kasura ka mama kwa mbaali,🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔