Jinsi ya kujibu swali la wewe ninani kwenye usaili

P
hahahaha, tatizo me mpenzi wa movie movie, hayo maswala ya ngumi live me sio shabiki sana, Ndio nimemuona hata kwenye uzi wa mshana ule wa vichekesho, but huyo bondia amenizidi kidogo maana nimechanganya kasura ka mama kwa mbaali,🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Ooh kama hadi umechukua na kasura ka bimkubwa utakua handsome bana, haupo kweli list ya sura personal😂😂
 
P

Ooh kama hadi umechukua na kasura ka bimkubwa utakua handsome bana, haupo kweli list ya sura personal😂
hahahah, bi mkubwa tumefanana naye sana pua la kinyaRwanda, mengine ni sura ya Baba, mikazo mikazo tu,🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom