Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

Hizi ni nyakati za mwisho ndugu yangu,unaweza kuona upako wako umekata kabisa ukashangaa kumbe ni ujumbe unapewa kuwa uachane na huo wa zamani ili upewe mpya utakao kufungua milango yako yote ya rohoni
nimeota nipo mahali niko kwenye Academy ama sijui niseme ni eneo la shule mahali ambapo sipafahamu katika mwili lakini wanafunzi wale walikua wana nidhamu sana, wamevalia sare ya shati nyeupe na skirt nyeusi kwa mabinti na vijana suruali nyeusi, nilipenda sana mazingira ya pale na wanafunzi wamejipanga, nadhifu vizuri yani wako active na kila kitu wanakifanya kwa nidhamu kubwa na wana furaha sana nikawa natamani.pia mtoto wa ndugu yangu aje asome pale, nikastuka usingizini
nikiwa natafakari nikapitiwa tena na usingizi ikaendelea ndoto ile ile niko mahali pale pale wakati niko pale nawasifia walimu kwa kazi nzuri kinafika kipindi cha sifa nikaitwa niweze kuongoza kipindi cha sifa nakumbuka na mama angu alikua pale pia akasema njoo kwa sababu anafahamu nina kipawa cha sifa na kuabudu basi nikafika mpaka pale mbele nami nimevalia shati jeupe na skirt nyeusi lakini nimejifunga na kitenge kwa juu wale wanafunzi wakawa wanapiga beat lakini pia hawakuwa na utulivu kama nilikua nawaona nao nikaanzisha pambio " Yesu wa Baraka eeaaahh Yesu wa Baraka Eaahh" lakini bit wanaikimbiza kiasi kwamba hata kipindi cha sifa hakikua kizuri na hata watu kuitikia vyema walishindwa maana mziki uko juu na beat inakimbizwa kila nikijitahidi niende sawa na beat angalau wapi nimepambana sana nakimbizana na ile beat japo ndani yangu nilitamani sana kumtolea Mungu sifa ya kweli na nilihisi nimejaa sana nguvu ya Mungu wakati nasifu ila tu mazingira hayakua mazuri matokeo yake nikarudisha Mike nikiwa na hali ya kuchukizwa na kile kitu yani sikupenda nikasema mziki mmenipigi isivyo wale wanafunzi hawakujali hata ni kama waliona kawaida tu
sasa baada ya pale nikawa naweka vizuri kitenge(kama kawaida ya wanawake) nikagundua ile skirt yangu niliyovaa ndani ilikua fupi mno kiasi cha kuonyesha sehemu kubwa ya maungo yangu mfano mapaja mpaka mwenyewe nikajistukia maana yake ni kile kitenge tu ndio kilinifanya nisitirike, wakati najifunga kitenge vizuri kuna baadhi walinikodolea macho maana waliona mapaja yangu lakini hawakusema neno..... wala kuhamaki ni mimi tu mwenyewe nikajistukia kwamba imekuaje kuvaa nguo fupi hivi??
Basi baadae ikawa muda wa chakula wale wanafunzi wakajipanga tena vizuri tena kwa nidhamu nikawa nasema mmewafundisha vizuri sana hawana fujo kabisa muda wa chakula maana kila mmoja anajua hana haja ya papara vile chakula ni cha kutosha hivyo hawana wasiwasi........
Ilikua vyakula vingi vya kutamanika makuku rosti, wali, yani vyakula vizuri japo mimi sikula mpaka ndoto inaisha
Na sikuona nimevaa saa ngapi na imekuaje nami nifanane sare na wale wanafunzi.... ndoto ikaishia hapo


☝️☝️ mtumishi wa Mungu pamoja ma 7seven naomba msaada hapo hii ndoto imenikaa sana kichwani

Na nyingine niliona mtumishi flani anafahamu ananiambi madhabahu yeyote isiyoruhusu maombi sio sehemu sahih nikastuka usingizini

Hizi ndoto mbili nimekaa sana kichwani
 
nimeota nipo mahali niko kwenye Academy ama sijui niseme ni eneo la shule mahali ambapo sipafahamu katika mwili lakini wanafunzi wale walikua wana nidhamu sana, wamevalia sare ya shati nyeupe na skirt nyeusi kwa mabinti na vijana suruali nyeusi, nilipenda sana mazingira ya pale na wanafunzi wamejipanga, nadhifu vizuri yani wako active na kila kitu wanakifanya kwa nidhamu kubwa na wana furaha sana nikawa natamani.pia mtoto wa ndugu yangu aje asome pale, nikastuka usingizini
nikiwa natafakari nikapitiwa tena na usingizi ikaendelea ndoto ile ile niko mahali pale pale wakati niko pale nawasifia walimu kwa kazi nzuri kinafika kipindi cha sifa nikaitwa niweze kuongoza kipindi cha sifa nakumbuka na mama angu alikua pale pia akasema njoo kwa sababu anafahamu nina kipawa cha sifa na kuabudu basi nikafika mpaka pale mbele nami nimevalia shati jeupe na skirt nyeusi lakini nimejifunga na kitenge kwa juu wale wanafunzi wakawa wanapiga beat lakini pia hawakuwa na utulivu kama nilikua nawaona nao nikaanzisha pambio " Yesu wa Baraka eeaaahh Yesu wa Baraka Eaahh" lakini bit wanaikimbiza kiasi kwamba hata kipindi cha sifa hakikua kizuri na hata watu kuitikia vyema walishindwa maana mziki uko juu na beat inakimbizwa kila nikijitahidi niende sawa na beat angalau wapi nimepambana sana nakimbizana na ile beat japo ndani yangu nilitamani sana kumtolea Mungu sifa ya kweli na nilihisi nimejaa sana nguvu ya Mungu wakati nasifu ila tu mazingira hayakua mazuri matokeo yake nikarudisha Mike nikiwa na hali ya kuchukizwa na kile kitu yani sikupenda nikasema mziki mmenipigi isivyo wale wanafunzi hawakujali hata ni kama waliona kawaida tu
sasa baada ya pale nikawa naweka vizuri kitenge(kama kawaida ya wanawake) nikagundua ile skirt yangu niliyovaa ndani ilikua fupi mno kiasi cha kuonyesha sehemu kubwa ya maungo yangu mfano mapaja mpaka mwenyewe nikajistukia maana yake ni kile kitenge tu ndio kilinifanya nisitirike, wakati najifunga kitenge vizuri kuna baadhi walinikodolea macho maana waliona mapaja yangu lakini hawakusema neno..... wala kuhamaki ni mimi tu mwenyewe nikajistukia kwamba imekuaje kuvaa nguo fupi hivi??
Basi baadae ikawa muda wa chakula wale wanafunzi wakajipanga tena vizuri tena kwa nidhamu nikawa nasema mmewafundisha vizuri sana hawana fujo kabisa muda wa chakula maana kila mmoja anajua hana haja ya papara vile chakula ni cha kutosha hivyo hawana wasiwasi........
Ilikua vyakula vingi vya kutamanika makuku rosti, wali, yani vyakula vizuri japo mimi sikula mpaka ndoto inaisha
Na sikuona nimevaa saa ngapi na imekuaje nami nifanane sare na wale wanafunzi.... ndoto ikaishia hapo


mtumishi wa Mungu pamoja ma 7seven naomba msaada hapo hii ndoto imenikaa sana kichwani

Na nyingine niliona mtumishi flani anafahamu ananiambi madhabahu yeyote isiyoruhusu maombi sio sehemu sahih nikastuka usingizini

Hizi ndoto mbili nimekaa sana kichwani
Ok,nimeomba Mungu nikusaidie hii ya kwanza. Kuota upo kwenye hiyo shule maana yake kuna maandalizi ya kuingia upako mpya na ulishapewa taaifa huko nyuma kuwa unahitajika kwenye maandalizi hayo lakini hukuelewa na yameshakaribia kwako. Shule usiyoijua maana yake ni maandalizi mapya kwako.kutamani mtoto wa ndugu yako akasome hapo maana yake maandalizi yalikuhitaji wewe lakini wewe ukajitoa kwa kuona kama wewe umeshafikia kiwango kikubwa hivyo upako huo haukufai. Mama yako kukuita ukaimbe sifa maana yake mama yako ndiye aliyepewa upako wa kukutambulisha katika msimu mpya wa huduma yako kama ukikubali kujifunza na kupata upako mpya. Kuvaa sare na kitenge juu maana yake kuna mambo yako (madhaifu yako ya kibinadamu) ulijaribu kuyafunika na yanaweza kuwa kikwazo kwako. Kushindwa kuendana na biti walilokuwa wanakupigia maana yake ulikwepa maandalizi ya msimu mpya na upako mpya wa kipawa chako na hivyo katika msimu wako mpya utapata shida sana kuendana na kasi ya msimu huo usipobadilika. Kutaka kujifunga kitenge vizuri na viongo vyako kuonekana na wewe mwenyewe kujishangaa maana yake, yale mambo yako (madhaifu yako ya kibinadamu) yataonekana na watu (wenzako katika huduma) na mengine yatakushangaza hata wewe mwenyewe maana hukuwahi kujua kama unayo. Kula chakula kwa utulivu maana yake wana ushirika wa pamoja ulio imara. Wewe kutokula hicho chakula maana yake wewe haupo ( umejitoa) katika ushirika wao.Asante, nimejaribu kujibu kwa ufupi kwa kugusia point kuu maana ningechambua kimoja kimoja itakuwa refu sana hapa.
 
Ok,nimeomba Mungu nikusaidie hii ya kwanza. Kuota upo kwenye hiyo shule maana yake kuna maandalizi ya kuingia upako mpya na ulishapewa taaifa huko nyuma kuwa unahitajika kwenye maandalizi hayo lakini hukuelewa na yameshakaribia kwako. Shule usiyoijua maana yake ni maandalizi mapya kwako.kutamani mtoto wa ndugu yako akasome hapo maana yake maandalizi yalikuhitaji wewe lakini wewe ukajitoa kwa kuona kama wewe umeshafikia kiwango kikubwa hivyo upako huo haukufai. Mama yako kukuita ukaimbe sifa maana yake mama yako ndiye aliyepewa upako wa kukutambulisha katika msimu mpya wa huduma yako kama ukikubali kujifunza na kupata upako mpya. Kuvaa sare na kitenge juu maana yake kuna mambo yako (madhaifu yako ya kibinadamu) ulijaribu kuyafunika na yanaweza kuwa kikwazo kwako. Kushindwa kuendana na biti walilokuwa wanakupigia maana yake ulikwepa maandalizi ya msimu mpya na upako mpya wa kipawa chako na hivyo katika msimu wako mpya utapata shida sana kuendana na kasi ya msimu huo usipobadilika. Kutaka kujifunga kitenge vizuri na viongo vyako kuonekana na wewe mwenyewe kujishangaa maana yake, yale mambo yako (madhaifu yako ya kibinadamu) yataonekana na watu (wenzako katika huduma) na mengine yatakushangaza hata wewe mwenyewe maana hukuwahi kujua kama unayo. Kula chakula kwa utulivu maana yake wana ushirika wa pamoja ulio imara. Wewe kutokula hicho chakula maana yake wewe haupo ( umejitoa) katika ushirika wao.Asante, nimejaribu kujibu kwa ufupi kwa kugusia point kuu maana ningechambua kimoja kimoja itakuwa refu sana hapa.
Amen asante mtumishi nashukuru sana
 
Ok,nimeomba Mungu nikusaidie hii ya kwanza. Kuota upo kwenye hiyo shule maana yake kuna maandalizi ya kuingia upako mpya na ulishapewa taaifa huko nyuma kuwa unahitajika kwenye maandalizi hayo lakini hukuelewa na yameshakaribia kwako. Shule usiyoijua maana yake ni maandalizi mapya kwako.kutamani mtoto wa ndugu yako akasome hapo maana yake maandalizi yalikuhitaji wewe lakini wewe ukajitoa kwa kuona kama wewe umeshafikia kiwango kikubwa hivyo upako huo haukufai. Mama yako kukuita ukaimbe sifa maana yake mama yako ndiye aliyepewa upako wa kukutambulisha katika msimu mpya wa huduma yako kama ukikubali kujifunza na kupata upako mpya. Kuvaa sare na kitenge juu maana yake kuna mambo yako (madhaifu yako ya kibinadamu) ulijaribu kuyafunika na yanaweza kuwa kikwazo kwako. Kushindwa kuendana na biti walilokuwa wanakupigia maana yake ulikwepa maandalizi ya msimu mpya na upako mpya wa kipawa chako na hivyo katika msimu wako mpya utapata shida sana kuendana na kasi ya msimu huo usipobadilika. Kutaka kujifunga kitenge vizuri na viongo vyako kuonekana na wewe mwenyewe kujishangaa maana yake, yale mambo yako (madhaifu yako ya kibinadamu) yataonekana na watu (wenzako katika huduma) na mengine yatakushangaza hata wewe mwenyewe maana hukuwahi kujua kama unayo. Kula chakula kwa utulivu maana yake wana ushirika wa pamoja ulio imara. Wewe kutokula hicho chakula maana yake wewe haupo ( umejitoa) katika ushirika wao.Asante, nimejaribu kujibu kwa ufupi kwa kugusia point kuu maana ningechambua kimoja kimoja itakuwa refu sana hapa.
Karibu tena kwenye jukwaa lako mtumishi maana ulipotea mda ...
 
Natafuta nikufundishe huu
Sawa mtumishi asante ila kuna jambo linanitatiza sana kuna imani nipo kwa sasa japo ni kama inanikosesha amani maana niliingia kujifunza Neno maana walitangaza kufundisha Biblia na ni kweli mafundisho yalikua mazuri sana sana ila mtumishi sikujua huko mbele kwamba nj lazima kusali mahali hapo kwa kua Neno lilikua tamu nikajikuta nimevutiwa na kujiunga hapo ila MH baada ya muda mfupi ni kama nimekosa kabisa hamu ya kuendelea hapo.. sielewi yani kama nipo sehemu sahihi ama laahh natamani Mungu ajifunue kwangu
 
Asante sana mpendwa,nipo naona mnapambana vizuri mkishirikiana na Mr 7Seven. Ikitokea dharura tupo pamoja.
Huwezi amini chanzo cha uzi wako nndo umenifanya mpaka leo nimekuwa kiimani san kama utakumbuka Damu upande wa nuru nikaanza kuona vitu vya ulimwengu mpaka leo sijarudi nyuma ukiweka na mabandiko ya Mr 7 seven nndo kabisaa mi ni mtu mwingine kabisa... Mbarikiwe sana 🙏🙏🙏🙏
 
Huwezi amini chanzo cha uzi wako nndo umenifanya mpaka leo nimekuwa kiimani san kama utakumbuka Damu upande wa nuru nikaanza kuona vitu vya ulimwengu mpaka leo sijarudi nyuma ukiweka na mabandiko ya Mr 7 seven nndo kabisaa mi ni mtu mwingine kabisa... Mbarikiwe sana
Amen,na asante sana kwa ushuhuda wako mzuri. Sifa na utukufu apewe Mwenyenzi Mungu.
 
Ok,nimeomba Mungu nikusaidie hii ya kwanza. Kuota upo kwenye hiyo shule maana yake kuna maandalizi ya kuingia upako mpya na ulishapewa taaifa huko nyuma kuwa unahitajika kwenye maandalizi hayo lakini hukuelewa na yameshakaribia kwako. Shule usiyoijua maana yake ni maandalizi mapya kwako.kutamani mtoto wa ndugu yako akasome hapo maana yake maandalizi yalikuhitaji wewe lakini wewe ukajitoa kwa kuona kama wewe umeshafikia kiwango kikubwa hivyo upako huo haukufai. Mama yako kukuita ukaimbe sifa maana yake mama yako ndiye aliyepewa upako wa kukutambulisha katika msimu mpya wa huduma yako kama ukikubali kujifunza na kupata upako mpya. Kuvaa sare na kitenge juu maana yake kuna mambo yako (madhaifu yako ya kibinadamu) ulijaribu kuyafunika na yanaweza kuwa kikwazo kwako. Kushindwa kuendana na biti walilokuwa wanakupigia maana yake ulikwepa maandalizi ya msimu mpya na upako mpya wa kipawa chako na hivyo katika msimu wako mpya utapata shida sana kuendana na kasi ya msimu huo usipobadilika. Kutaka kujifunga kitenge vizuri na viongo vyako kuonekana na wewe mwenyewe kujishangaa maana yake, yale mambo yako (madhaifu yako ya kibinadamu) yataonekana na watu (wenzako katika huduma) na mengine yatakushangaza hata wewe mwenyewe maana hukuwahi kujua kama unayo. Kula chakula kwa utulivu maana yake wana ushirika wa pamoja ulio imara. Wewe kutokula hicho chakula maana yake wewe haupo ( umejitoa) katika ushirika wao.Asante, nimejaribu kujibu kwa ufupi kwa kugusia point kuu maana ningechambua kimoja kimoja itakuwa refu sana hapa.
Asante mtumishi nimelewa hapa ila sijui nianzie wapi ikiwa Kuna namna ya kuomb ama namna ya kufanya ntashukuru sana mtumishi
 
Sawa mtumishi asante ila kuna jambo linanitatiza sana kuna imani nipo kwa sasa japo ni kama inanikosesha amani maana niliingia kujifunza Neno maana walitangaza kufundisha Biblia na ni kweli mafundisho yalikua mazuri sana sana ila mtumishi sikujua huko mbele kwamba nj lazima kusali mahali hapo kwa kua Neno lilikua tamu nikajikuta nimevutiwa na kujiunga hapo ila MH baada ya muda mfupi ni kama nimekosa kabisa hamu ya kuendelea hapo.. sielewi yani kama nipo sehemu sahihi ama laahh natamani Mungu ajifunue kwangu sijui kama umewahi kusikia kanisa la Shinsheonji?
Hakuna hata haja ya kutaja jina la huduma ya mtu. Ngoja nifuatilie kidogo alafu nitakujibu mapema maana kukosa amani katika ulimwengu wa kiroho husababishwa na mambo mengi.
 
Asante mtumishi nimelewa hapa ila sijui nianzie wapi ikiwa Kuna namna ya kuomb ama namna ya kufanya ntashukuru sana mtumishi
Usihofu Mungu ni mwema. Mr 7seven naomba mpe huyu mtu muongozo wa maombi ya kukomboa nafsi yake maana naona hapo ndipo penye mzizi wa tatizo. Tulia utapewa muongozo.
 
Asante mtumishi nimelewa hapa ila sijui nianzie wapi ikiwa Kuna namna ya kuomb ama namna ya kufanya ntashukuru sana mtumishi
Usihofu Mungu ni mwema. Mr 7seven naomba mpe huyu mtu muongozo wa maombi ya kukomboa nafsi yake maana naona hapo ndipo penye mzizi wa tatizo. Tulia utapewa muongozo.
 
Kama unataka kufanya wewe mwenyewe,fuata zile hatua tulizoona pale kwenye kipengele cha damu upande wa ufalme wa giza na ukifikia kwenye kunena matatizo yako wewe nena tatizo lako kuwa ni kutaka kujua jina lako tu,(tumia damu ya ngo"mbe au ya mbuzi).Ukikwama hapa itabidi utafute wazee wakusaidie.
Na akitaka kwa njia ya Nuru je?
 
Usihofu Mungu ni mwema. Mr 7seven naomba mpe huyu mtu muongozo wa maombi ya kukomboa nafsi yake maana naona hapo ndipo penye mzizi wa tatizo. Tulia utapewa muongozo.
Mwalimu naomba msaada,hii ndoto ya kurudi shule inajirudia kila siku richa ya kufanya maombi,sasa nimeona peke yangu siwezi nisaidieni.
 
Back
Top Bottom