Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,798
- 41,183
Huo ujinga umejaa kwenye akili yako hivyo endelea nao.Your opinion is not my reality, mkuu.
Na kuwadanganya watu hapa Jf ila sio kila mtu utamdanganya.
Huo ujinga umejaa kwenye akili yako hivyo endelea nao.Your opinion is not my reality, mkuu.
Tunazijutiaaa
Hizi ni pesa ndogondogo sana ambazo nazitoa bila majuto.
Mwanaume ndio anatakiwa awe provider mkuu , not the other way round.
NdiooAisee
Ukipenda ni kawaida. Unajikuta tu na hamu ya kumhudumiaKindly refer to the heading above..
Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano;
Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no 41510040XXX (MILLICENT MZURI) ref:XXX4298373. Thanks for using Exim Mobile, call 0800 780 111 for any assistance needed.
Au,
AirtelMoney
Umetuma Tsh270,000.00 kwenda kwa MILLICENT MZURI. Salio lako jipya ni Tsh2,100,000.00. Muamala No: CI240503.1856.N57337
Hiyo miamala yote uwe umemtumia hata bila kuombwa. Kwa mfano huo muamala wa kwanza unakuwa umeutuma jana usiku wa saa saba wakati amelala, akiamka asubuhi anakutana na notification tu. Aisee, mapenzi utayasimulia katika muktadha wa tofauti sana.
Pengine huo muamala wa pili uwe umemtumia leo week end baada ya binti kukwambia anaenda kwenye birthday ya rafiki yake. Halafu muamala unafuatiwa na SMS hii, "baby pls manage that little token from me. Love always" .
Hawa wanawake tunawalaumu bure tu. Tatizo ni kwamba hatuwapi PESA. Kwao pesa ndio kila kitu; nguvu za kiume, uaminifu, utulivu, upole, utu wema, usikivu, unyenyekevu n.k (mengine ongezea mwenyewe).
Sasa wewe hela hutumi, binti anajikaza anakuomba unaanza stori, sijui "ooh bay nipo mbali msibani huku tandahimba ndanindani nina cash tu na mawakala wako mbali" , wakati siku hizi kuna sim banking, mobile money transfer n.k
Hata kama huna sim banking, mwanaume unakosaje akiba kidogo kwenye simu kwa ajili ya dharura?!!! Kwanza siku hizi kutembea na cash ni ushamba.
Wanaume tutafuteni pesa. Dunia haina huruma kwa masikini wote lakini hasa sisi WANAUME.
N:B
'MILLICENT MZURI' NI JINA LA KUSADIKIKA TU.
Kuna siku nliwahi kuzungumza na nesi mmoja hiviUnapata hela kimagendo magendo, easy money..
Unataka kutufunza matumizi.ya hovyo sisi tunao hangaikia hela kwa jasho na damu.
Wewe honga tu mkuu ila kaa ukijua atazoea hiyo style yako akishazoea utamsaidia kutumia hela yako kuwahonga wanaume marijali na wahuni wanaomsugua hadi anahama kitandani anaanguka chini sakafuni pwaaah .
Huyu ni Malaya mwenzao wananunuana,Mleta uzi umewapa vichwa hawa viumbe,
Stop doing that kama unafanya kweli, stop giving them money coz money can't buy someone, unajipunguzia worth kama mwanaume. Siku ukifulia utajiona Fala. Kamwe sitakuja kutumia pesa kumridhisha mwanamke, ni kama vile unakua na malaya, utoe pesa ndo upate huduma. Money sio kipimo cha kupendwa. Period
Jinga sana huyo, anafikiri kila mwanaume ana udhaifu huoHuyu ni Malaya mwenzao wanaunuana,
Ila akae akijua kuna mwanaume sehemu anakula pasu pasu hizo chenji zake.
Hakika, nami niliwah kosana na mwanamke sababu ya hivi, nikataka kumuonesha kwamba tunafurahia dunia, full kulala hotelin na mivyakula, sad enough akaniambia hagau una matumizi mabaya sana ya fedha na hivyo mm sipend mtu wa hivyo, nikadahan anatania ila akapunguza mahusiano had tukasauliana. Ukipata mtu anaejielewa anakuona zuzu boya sana ilihal ww ulitaka kuonekana mwamba.Kuna siku nliwahi kuzungumza na nesi mmoja hivi
Yule dem aliachana na askal mmoja hivi maalufu wilayani pale
Nkamuuliza why ulitengana na jamaa wakati maokoto kibao
Yule manzi alinmby
Kuna wakati unahitaji kua na mtu mwenye future na mtu
Mwenye mipango na matumizi sahihi ya fedha na sio anatumia km kichaa
hivyo mwanamke malaya/mjinga na Mpuuzi tu ndio hufurahia fedha pasipokua na utafutaji
Ndiyo maana alipigwa chini.Nimegugo miamala ya Bil gate kwa Belinda
We tuma tu wanao chimba mgodi wengineee! Tena mmm ukiwafahamu jasho litkutoka hadi kwenye menoKindly refer to the heading above..
Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano;
Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no 41510040XXX (MILLICENT MZURI) ref:XXX4298373. Thanks for using Exim Mobile, call 0800 780 111 for any assistance needed.
Au,
AirtelMoney
Umetuma Tsh270,000.00 kwenda kwa MILLICENT MZURI. Salio lako jipya ni Tsh2,100,000.00. Muamala No: CI240503.1856.N57337
Hiyo miamala yote uwe umemtumia hata bila kuombwa. Kwa mfano huo muamala wa kwanza unakuwa umeutuma jana usiku wa saa saba wakati amelala, akiamka asubuhi anakutana na notification tu. Aisee, mapenzi utayasimulia katika muktadha wa tofauti sana.
Pengine huo muamala wa pili uwe umemtumia leo week end baada ya binti kukwambia anaenda kwenye birthday ya rafiki yake. Halafu muamala unafuatiwa na SMS hii, "baby pls manage that little token from me. Love always" .
Hawa wanawake tunawalaumu bure tu. Tatizo ni kwamba hatuwapi PESA. Kwao pesa ndio kila kitu; nguvu za kiume, uaminifu, utulivu, upole, utu wema, usikivu, unyenyekevu n.k (mengine ongezea mwenyewe).
Sasa wewe hela hutumi, binti anajikaza anakuomba unaanza stori, sijui "ooh bay nipo mbali msibani huku tandahimba ndanindani nina cash tu na mawakala wako mbali" , wakati siku hizi kuna sim banking, mobile money transfer n.k
Hata kama huna sim banking, mwanaume unakosaje akiba kidogo kwenye simu kwa ajili ya dharura?!!! Kwanza siku hizi kutembea na cash ni ushamba.
Wanaume tutafuteni pesa. Dunia haina huruma kwa masikini wote lakini hasa sisi WANAUME.
N:B
'MILLICENT MZURI' NI JINA LA KUSADIKIKA TU.
Hao wanaofanya hivyo ni wale wanaotafuta kwa jasho na kuhonga kama mvua mwisho wa siku pesa zao huhonga wengine (Ben ten) na wao wanapewa invoice usiku na mchana
Wanaofanya huo unyama ni wale wanaokopa ili wakahonge. Mimi natafuta kwa jasho, nawekeza, nazalisha nyingi zaidi, then na-show love.
Lucas Mwashambwa bana una vituko.Kunywa soda nakuja kulipa
Tokea may ianze huu ndo uzi mzuri kwangu
Happy New Month to you🥂
Fine.Hamna kasiriko it's ok