JF imenitoa ushamba, miaka mitano natumia external kucopy mafaili speed niliyozoea MB 16 kwa sekunde kumbe natumia teknolojia za zamani

gearbox

JF-Expert Member
Apr 20, 2024
262
754
Nilipitia uzi flani humu unaitwa "Teknolojia ya usb 2.0 imepitwa na wakati, wafanyabiashara wetu wametugeuza kuwa dampo la kupigia pesa, jitahidi ununue bidhaa za usb 3.0 na kuendelea"

Ndipo nikagundua na mimi nimefanywa dampo la wafanyabiashara kujipigia pesa kwa kuuza vitu vilivyopitwa na wakati

Kwa miaka mitano nilikuwa natumia kasha la kuweka harddisk limeandikwa usb 2.0 ila sikutilia maanani, Speed niliyokuwa naipata kwenye kuhamisha mafaili ni MB 15 hadi 17 kwa sekunde, muda wote huu niliizoea hii speed kuona ni kawaida,

Baada ya kuelimishwa humu jf nilichomoa hard disk kwenye kasha la usb 2.0 nikaibeba kwenda nayo duka la vifaa vya computer, nikaomba wanipe kasha la usb 3.0 nikaipachika hard disk

Nilitest kuhamisha file la gb 2, Speed ilikuwa MB 40 kwa sekunde, chini ya dakika moja kazi ilimalizika

Nimenunua kasha kwa elf 15.

ni vizuri kuwa informed na mambo ya teknoloji, imenisaidia
 
Nilipitia uzi uzi flani humu unaitwa "Teknolojia ya usb 2.0 imepitwa na wakati, wafanyabiashara wetu wametugeuza kuwa dampo la kupigia pesa, jitahidi ununue bidhaa za usb 3.0 na kuendelea"

Ndipo nikagundua na mimi nimefanywa dampo la wafanyabiashara kujipigia pesa kwa kuuza vitu vilivyopitwa na wakati

Kwa miaka mitano nilikuwa natumia external case ambayo nilipoichunguza niliona imeandikwa usb 2.0.

Speed niliyokuwa naipata kwenye kuhamisha mafaili ni MB 15 hadi 17 kwa sekunde, muda wote huu niliizoea hii speed kuona ni kawaida,

Baada ya kuelimishwa humu jf nikaona niende duka la vifaa vya computer nikiwa nimebeba laptop na harddisk yangu ili kutesti speed ya kasha la usb 3.0 kama kweli nitapata speed kubwa.

Nilitest pale pale dukani kuzuia kuuziwa mbuzi kwenye gunia, Speed niliyoipata ni kubwa,,, MB 40 kwa sekunde..Chap chap nikalipia bidhaa elf 15

ni vizuri kuwa informed na mambo ya teknoloji, imenisaidia
15k uliuiziwa nini? External hard disk???
 
Kwa 15k utakuwa umeuziwa flash
15k uliuiziwa nini? External hard disk???
Mkuu 15 au 150 elfu?
Naombeni nieleweke, nilichonunua ni kasha la kuwekea hard disk ili isomeke kwa waya wa usb

1714933827939.png
 
Alichonunua ni external enclosure, disk anaingiza mwenyewe yenyewe inampa nafasi ya kuconnect disk kwa usb
Jf wengi wajuaji flani ambao ni zero flani tu, sasa angalia hapo wanaposhangaa kwa kuuliza!.

Hawasomi kwa kutulia utadhani vipofu.
 
Nilipitia uzi flani humu unaitwa "Teknolojia ya usb 2.0 imepitwa na wakati, wafanyabiashara wetu wametugeuza kuwa dampo la kupigia pesa, jitahidi ununue bidhaa za usb 3.0 na kuendelea"

Ndipo nikagundua na mimi nimefanywa dampo la wafanyabiashara kujipigia pesa kwa kuuza vitu vilivyopitwa na wakati

Kwa miaka mitano nilikuwa natumia kasha la kuweka harddisk limeandikwa usb 2.0 ila sikutilia maanani, Speed niliyokuwa naipata kwenye kuhamisha mafaili ni MB 15 hadi 17 kwa sekunde, muda wote huu niliizoea hii speed kuona ni kawaida,

Baada ya kuelimishwa humu jf nilichomoa hard disk kwenye kasha la usb 2.0 nikaibeba kwenda nayo duka la vifaa vya computer, nikaomba wanipe kasha la usb 3.0 nikaipachika hard disk

Nilitest kuhamisha file la gb 2, Speed ilikuwa MB 40 kwa sekunde, chini ya dakika moja kazi ilimalizika

Nimenunua kasha kwa elf 15.

ni vizuri kuwa informed na mambo ya teknoloji, imenisaidia
Usb 3 ni angalau 5gbps, hapo sasa hivi unapata full speed ya HDD yako. Kama una ssd na usb 3 kote kwenye pc na kasha speed inazidi kuwa kubwa.
 
Back
Top Bottom