Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,117
- 1,751
Baba wa mtoto mlipotezeana.
Hapa kuna shida,mnamtesa na kumyumbisha huyo mtoto.
Jaribu kurudi nyuma,hata sisi vitani hufanya hivyo mashambulizi yakiwa makali mno.
Mtafte baba wa mtoto kiupole hata kama uliondoka kwa ugomvi we mtafte tuu. Amini nakwambia hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke msikivu na mpole.
Hapa kuna shida,mnamtesa na kumyumbisha huyo mtoto.
Jaribu kurudi nyuma,hata sisi vitani hufanya hivyo mashambulizi yakiwa makali mno.
Mtafte baba wa mtoto kiupole hata kama uliondoka kwa ugomvi we mtafte tuu. Amini nakwambia hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke msikivu na mpole.