DOKEZO Jeshi la Uhamiaji wamenirudisha Nyumbani wakidai sipo Fiti. Nimepoteza dira ya maisha

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Baba wa mtoto mlipotezeana.
Hapa kuna shida,mnamtesa na kumyumbisha huyo mtoto.
Jaribu kurudi nyuma,hata sisi vitani hufanya hivyo mashambulizi yakiwa makali mno.
Mtafte baba wa mtoto kiupole hata kama uliondoka kwa ugomvi we mtafte tuu. Amini nakwambia hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke msikivu na mpole.
 
1. Tafuta vibarua tu sehemu yoyote ile hata vya matofali au zege.

2. Sali sana lakini

Ilaa ulikosea sana kuwa singo maza kwa miaka 6 huyo mtoto kakupukunyua sana anyway huwezi kurudi nyuma

N. B USIJIUZE NASIKIA BIASHARA YA MALAYA IMEKUWA NGUMU, WALA USIJIUE MAANA HUJUI UENDAKO BAADA YA HAPO


MTUMAINIE MUNGU
Kweli hupend aman maan comment yako imenifanya nicheke wakat nina huzuni
 
Back
Top Bottom