ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,462
- 2,590
Ivi mkuu mtu akitumia pep kwa siku 28 na akamaliza inachukua muda gani effects za dawa mwilini kuisha au nguvu yq dawa huisha baada yq muda gani?Huwezi kupata hadi zitakopita wiki mbili baada ya kumaliza dozi coz dawa ya pep inakaa muda mrefu kwenye damu
Hivyo hata baadaa ya kumaliza dozi inakuwa sumu ya dawa ipo kwenye damu