Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,375
- 4,993
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Naomba kujua ikitokea umepewa nafasi ya kushauri siku ya leo May 20,2024 Je utampa ushauri gani Waziri Mkuu Benjamin Netanyau?
Niwatakie usiku mwema wenye baraka tele Ndugu zangu wa jukwaa hili
Kichwa cha habari chahusika
Naomba kujua ikitokea umepewa nafasi ya kushauri siku ya leo May 20,2024 Je utampa ushauri gani Waziri Mkuu Benjamin Netanyau?
Niwatakie usiku mwema wenye baraka tele Ndugu zangu wa jukwaa hili