hahahahahahha.....mkuu ulimvulia nani ?Hakuna linalofanyika bila sababu...wewe endelea kula nyongo..maana chuki uliyonayo lazima ikukondeshe.
Hilo la kuanzisha vikampuni vya kando na kuvipa tenda umekua ugonjwa wa taifa! almost kila mwenye madaraka sehemu anafanya hivyo.
aaaahhh! nilidhani wewe ni intellectual kumbe ni wale wale. unatuletea mambo ya uganga na ulozi humu! aibuuu!Vijana wa CHADEMA tokea Mbowe afurumushwe NHC mnashinda kwa waganga kumuombea mabaya na kumroga Mchechu.
Ni kweli ukimgusa Mchechu Pasco lazima aje , ushahidi ninao .Mchechu ni mkurugenzi mkuu wa NHC
Je, ni kweli kampuni zake (wanasema anazimiliki indirectly) ndiyo zinapewa priority kwenye tenda za kujenga nyumba za shirika hilo?
The word is mwenyewe haogopi kufukuzwa kazi kwani sasa hivi kampuni zake zinaidai NHC mabilioni na interest juu hivyo hata akifukuzwa kazi au akisimamishwa kupisha uchunguzi yeye ataendelea kula bata
Je, mwongozo wa Utumishi unasemaje kuhusu haya mambo ya indirect?
Natumai Pasco atakuja toka chimbo alipo na maneno ya kutishana na sababu za yeye kuja kwenye uzi huu anazijua.
Cc Pascal MayallaPasco upoooo????
Why me?, mimi always niko open na transparent, hivyo funguka tuu...Natumai Phttps://www.jamiiforums.com/threads/the-power-of-karma-ndio-hukumu-pekee-ya-haki-kamili-hapa-duniani-unahukumiwa-kwa-matendo-yako.838459/page-2
Ni kweli ukimgusa Mchechu Pasco lazima aje , ushahidi ninao .Pasco upoooo????
Why me?, mimi always niko open na transparent, hivyo funguka tuu...
P
Zile za kichina zinazojenga maghorifa ya NHCzitaje hizo kampuni,watanzania umbeya ndo zetu
Nimeamini kuwa kuna waganga.Vijana wa CHADEMA tokea Mbowe afurumushwe NHC mnashinda kwa waganga kumuombea mabaya na kumroga Mchechu.
Kesho Mungu wako Magu akimtumbua utakuja hapa kuhorojoa...watu aina yako na ya Juliana Shonza ni hasara kwa nchi hii
Namkumbuka sana huyu jamaa wakati wasakata la Mbowe na bilcanas. Sasa naamini maneno ya TL, "Akitumaliza sisi atahamia kwenu"Mchechu ni mkurugenzi mkuu wa NHC
Je, ni kweli kampuni zake (wanasema anazimiliki indirectly) ndiyo zinapewa priority kwenye tenda za kujenga nyumba za shirika hilo?
The word is mwenyewe haogopi kufukuzwa kazi kwani sasa hivi kampuni zake zinaidai NHC mabilioni na interest juu hivyo hata akifukuzwa kazi au akisimamishwa kupisha uchunguzi yeye ataendelea kula bata
Je, mwongozo wa Utumishi unasemaje kuhusu haya mambo ya indirect?
Natumai Pasco atakuja toka chimbo alipo na maneno ya kutishana na sababu za yeye kuja kwenye uzi huu anazijua.
acha tu bro!Namkumbuka sana huyu jamaa wakati wasakata la Mbowe na bilcanas. Sasa naamini maneno ya TL, "Akitumaliza sisi atahamia kwenu"
Nakupa cheo-You are Political prophet.Kesho Mungu wako Magu akimtumbua utakuja hapa kuhorojoa...watu aina yako na ya Juliana Shonza ni hasara kwa nchi hii
Duh! Haya bana. Sikuona wakati huo. Nafurahi jamaa kawekwa benchi. Uchunguzi ufanyike ili hatua stahiki zichukuliweNgoja aje @Lizabon maana anamchukia huyo jamaa balaa