mgoloko
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 4,806
- 3,996
Pia ni msema kweli mpenzi wa mungu mwenye mijengo mitatu ya nguvu kule Dom iliyopangwa na waliohamia hukoAhh TZ!! Halafu nasikia huyo aliyefutwa jina ndio Mtanzania mzalendo haijapata kutokea. Sasa hivi watu wanaacha kazi zao na kumfata kama wakati wa Yesu watu walipo uza Mali zao na kumfata.