johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,736
- 145,619
Kama ni Kweli Chadema walishauri Vyama vingine visiingizwe kwenye Mijadala wa Marekebisho ya NEC bali Wawe Wao na CCM tu, basi demokrasia ya nchi yetu ipo mbali
Wengi tulihoji hapa Jf Kwanini Maridhiano ya Chadema na CCM mh Mbowe ameyafanya kuwa Siri?
Hata Lisu na Lema wakiwa uhamishoni Ulaya waliapa watakapotua tu nchini litaitishwa Baraza Kuu ili Mwenyekiti awape mrejesho wa Maridhiano atake asitake
Hatimaye Leo CCM imetegua kitendawili Cha Maridhiano
Wengi tulihoji hapa Jf Kwanini Maridhiano ya Chadema na CCM mh Mbowe ameyafanya kuwa Siri?
Hata Lisu na Lema wakiwa uhamishoni Ulaya waliapa watakapotua tu nchini litaitishwa Baraza Kuu ili Mwenyekiti awape mrejesho wa Maridhiano atake asitake
Hatimaye Leo CCM imetegua kitendawili Cha Maridhiano