Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 32,057
- 67,628
Ah weee mimi Musiala all days.Jude ni mtu.
Ova
Ah weee mimi Musiala all days.Jude ni mtu.
Ova
Hapo kuna mmoja anacheza kwa mamraka na kama mwanaume. Mwingine anacheza kama mvulanaWewe ndio kocha kwenye timu yako, unatakiwa uchague mmoja kati ya Musiala au Bellingham kwenye kikosi cha kwanza unaenda na nani?
Ujue watu wana mahaba tu
Ukweli Jude is the best.
Kwa ile bvb mbovu lakini alikuwa anashine na kuibeba sana tu
Nenda kule Bayern sasa mwaka wa ngapi wanabeba? Kwanza pale Bayern muunganiko wa wachezaji ni mkubwa wengi wazuri
Tusisahau pale nyuma ya Jamal unamkuta kimmich! Imagine ..
Hata huko Madrid namba haizidanganyi Jude 10 match 10 goals!
Kiukweli xavi alikuwa ni holding midfielder a kind of kiungo nusu mkabaji nusu mchezeshaji.
Same to lampard
Mchezaji akishakuwa muingereza tu bas ujue hamna kitu ni upepo tu unambeba.
Mkuu ujue kunakuwaga na Central midfielder ambaye huwa anccheza nane au sits lakini majukumu tofauti
Ndiyo huyo central midfielder kwani holding midfielder unaelewa vipi?
Ndio huyo sasa
Sawa mkuu ila kwangu jude ni bora kumzidi jamal
Sasa utamlinganisha mchezaji wa kung'aa mechi moja na mchezaji anaefanya vizuri msimu mzima? Wote ni AM lakini aina yao ya uchezaji ni tofauti. Kwangu Jude ni bora zaidi.macho yako huwa yanaona nini uwanjani? Jude alipotea mechi nzima akiwa naruka ruka tu huku Musiala alikuwa anawakokota tu mabeki.
Kwani Jude ameanza leo?Tusidanganywe na form hasa magoli ya sasa ya Jude ila Musiala yule mtoto ananikumbusha enzi za Juan Roman Requelme kiufundi.
Haya tuambie weweJude alikuwa anaibeba BVB? Dah muna lugha za hatari sana
Huu sasa sio uchambuziMusiala ni Copy ya akina Messi, David SIlva
JUde ni copy ya Kevin Prince Boateng
Ni vitu viwili tofauti, Musiala ni fundi wakati huyu mwengine anacheza kwa kubahatisha
Sasa jeHolding midfields ni Dm defending modified, kw akibongo ni fild ya kuzuia, Central ni midfield ya kati anaweza kuwa anachezesha au pia kuzuia, ambao wao huwa wanaitwa Box to Box
Hata majina ni tofauti pia,nasisitiza utofauti.Holding na Central midfielder ni vitu viwili tofauti na majukum tofauti kabsa uwanjan
Kwani Jude ameanza leo?