johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,999
- 143,671
Hilo ni ombi langu kwa Watanzania wote na Mungu wa mbinguni atawabariki sana
Nawatakia Dominica Njema 😄
Nawatakia Dominica Njema 😄
Mungu wa mbinguni akubarikiPuuzi flan hivi
Utatu wa Uzalendo:Ipende pia CCM, ni baraka tosha!
Cc Lucas MwashambwaHilo ni ombi langu kwa Watanzania wote na Mungu wa mbinguni atawabariki sana
Nawatakia Dominica Njema 😄
NChi naipenda sana.Hilo ni ombi langu kwa Watanzania wote na Mungu wa mbinguni atawabariki sana
Nawatakia Dominica Njema 😄
Lucas ni mzalendo
Ipende Nchi yako kwanza,NChi naipenda sana.
Yeye ni mpende kwa lipi?
Viongozi wakuu wa nchi huwekwa na Yeye mwenyewe Mungu wa mbinguniNChi naipenda sana.
Yeye ni mpende kwa lipi?
Mungu hawekagi fisadi tuliza weweViongozi wakuu wa nchi huwekwa na Yeye mwenyewe Mungu wa mbinguni
Mkuu unalazimisha ndoa ya mkekaHilo ni ombi langu kwa Watanzania wote na Mungu wa mbinguni atawabariki sana
Nawatakia Dominica Njema 😄
Fisadi ni tafsiri Yako kama BinadamuMungu hawekagi fisadi tuliza wewe
Kuna Ndoa za Kidini na Kimila, mkeka ni kwenye KamariMkuu unalazimisha ndoa ya mkeka
Hakuna mahali imeandikwa baraka zinakuja kwa kumpenda rais.Hilo ni ombi langu kwa Watanzania wote na Mungu wa mbinguni atawabariki sana
Nawatakia Dominica Njema 😄
RAis wako hayuko rohoni sitamuona hukoFisadi ni tafsiri Yako kama Binadamu
Nakuombea kwa Mungu wa mbinguni ayafungue macho Yako ya rohoni