Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 16,140
- 21,128
Mimi nimesema tu ukweli uliopo mkuu,wala sihusiki na hilo tatizo,NASA ndio wabaya wetu.Hawa jamaa wana technologies za kutisha sana,wana uwezo wa kuzima National Grids zote duniani at once na kuzima chote chote kinachotumia umeme, hata ubongo wako!Sitishi lakini ndio ukweli.imerudi saa hivi voda, Haya yote amesababisha Mathanzua kwa kuleta solar frare bongo