sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,581
- 7,459
Japo Inonga ana mkataba mpaka 2025 ila ameomba kuondoka na ameshaanza mazungumzo na club yake wamuachie.
Pia beki wa kati Che Malone nae anataka kuondoka sababu hafurahii kuwepo Simba.
Za ndani zinasema Simba wanataka kumchukua naodha wa Yanga Bakari Mwamnyeto ambae mkataba wake unaisha Yanga hivi karibuni na bado hajasaini mkataba mpya.