Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 16,137
- 24,844
TETESI: Nyanda wa Klabu ya Simba, Ayoub Lakred ameamua kuondoka klabuni hapo mwisho wa msimu huu baada ya mkataba wake wa mwaka mmoja klabuni hapo kufikia ukomo.
Kwa mujibu wa ripoti Ayoub (28) raia wa Morocco amepata ofa kutoka moja ya vilabu Nchini kwao hivyo hayupo tayari kuendelea kusalia Nchini Tanzania.
#KitengeSports
NB: Bakolo batalia
Kwa mujibu wa ripoti Ayoub (28) raia wa Morocco amepata ofa kutoka moja ya vilabu Nchini kwao hivyo hayupo tayari kuendelea kusalia Nchini Tanzania.
#KitengeSports
NB: Bakolo batalia