Daaa! nimekukubali sana weee jamaa!! ila umesahau Togwa baridaa inayo wekwa kwa Mutungi weee!...viazi vya kuchoma kwenye mavi makavu ya ng'ombe!..afu upige na kibuyu ya mtindi wa kienyeji ambao hauchemshwi ule!Mbona ni kama haituhusu sana sisi wa huku vijijini? au mnasahau au mnajifanya hamjui kwamba Sisi huku mara nyingi tunakulaga vyakula kama mnafu,makukuru,ugali(dona) ndizi za kuchemsha,maziwa mgando, mgagani, majumbao, ndulele changa, tembele, mbwembwe(mashonanguo) na maji ya visimani?, Pombe zetu ni Taputapu, kangara, komoni, ufuge n.k. Mambo ya juisi,mayai, cjui nini na nini tunavipata cku tukijawasalimia huko mjini. Kwa hiyo sisi mnatuambiaje kwa mfano.
Hapo sasa... Nikiwa bado chalii kuna demu nilinunua sehemu baadae akaendelea kuwa mshkaji... alinifundishaga dawa " mtindi, ndizi mbivu na ugali kidogo"... Been my home remedy ever since...Maziwa fresh na ndizi mbivu ukila pamoja kama una shida ya usingizi ni dawa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Saa mtu anakula furukobe, mavilu/Masada, mahindi ya kuchoma, mkaango, na mixer zingine yaani ikiwa ngozi nyeupe ule mmeng'enyo ungeweza kuusikia kama steam ya kiwanda Cha Kagera sugar LAKINI tumbo la mtu mweusi mmeng'enyo utadhani treni ya umeme yaani shwaaaa na tukienda toi utasikia parrr kwisha jembe begani shamba nyambaaafuBana weee!! hayo ni matumbo ya wazungu!!wahindi na waarabu!....ngozi nyeusi sie bana ni utamu ku mudomo tuuu baaasi!! kwanza hatutaki kunenepeana wacha viende huko vigandane weeee! then nita vitoa vyote km mavi!
hii ndo dawa ya mabonge!