Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,963
- 6,109
Wakuu na wataalam hawa haya maswala, inakuaje gari ni mpya toleo la karibuni lakini namba ya usajili unakuta ni ya mwaka 2001 huko. Naombeni mnijuze
Gari za wale jamaaWakuu na wataalam hawa haya maswala, inakuaje gari ni mpya toleo la karibuni lakini namba ya usajili unakuta ni ya mwaka 2001 huko. Naombeni mnijuzeView attachment 2986026
AiseeNgoja wataalamu waje,mimi dogo wiki iliyopita kanunua bajaji mpya kabisa lakini kasajili namba D
Nilipomuuliza kasema namba D hazivutii wezi kuiba kama namba E
Hiyo ni gari ya Serikali.Wakuu na wataalam hawa haya maswala, inakuaje gari ni mpya toleo la karibuni lakini namba ya usajili unakuta ni ya mwaka 2001 huko. Naombeni mnijuzeView attachment 2986026
Hata ukiicheki hiyo plate number hapo inaonekana iko temporarily tu siyo permanent.Hiyo ni gari ya Serikali.
Hata plate Number yake huwa ina space ya kuchomeka plate namba nyingine, apart from zile official like STK, STM au STN.
So, huwa wanabandika namba zingine kama hiyo kwa sababu za kiusalama tu.
Hayo magari ni yawauza madafu.Wakuu na wataalam hawa haya maswala, inakuaje gari ni mpya toleo la karibuni lakini namba ya usajili unakuta ni ya mwaka 2001 huko. Naombeni mnijuzeView attachment 2986026
Kwa kiufupi hiyo ni gari kinyonga namba plate inabadilika kutokana na misheni.Hata ukiicheki hiyo plate number hapo inaonekana iko temporarily tu siyo permanent.
Hilo nalo ni jibu, kwani Kwa hiyo gari mwaka wa matengenezo inaweza kuwa 2010Sio mpya hio sema Ina matunzo