Ina maana mikataba yote waliyosaini Yanga sc wamekosa pesa ya kumlipa Kambole au ni mikataba hewa?

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,382
12,948
nimesikitika kuona Yanga sc kufungiwa kusajili kwa sababu ya kutomlipa pesa aliyekua mchezaji wa Yanga sc LAZARO kAMBOLE , kwa maelezo niliyoyapata ni kuwa FIFA waliiandikia barua YANGA mapema tu kuwa wamlipe pesa kambole lakini yanga walikaidi na kujisahaulisha

SWALI LANGU: ina maana mikataba wanayosaini yanga sc ni mikataba feki au ni ya laki laki anbayo haikidhi na haiwezi kukusanya pesa za kutosha na kumlipa kambole??
 
nimesikitika kuona Yanga sc kufungiwa kusajili kwa sababu ya kutomlipa pesa aliyekua mchezaji wa Yanga sc LAZARO kAMBOLE , kwa maelezo niliyoyapata ni kuwa FIFA waliiandikia barua YANGA mapema tu kuwa wamlipe pesa kambole lakini yanga walikaidi na kujisahaulisha

SWALI LANGU: ina maana mikataba wanayosaini yanga sc ni mikataba feki au ni ya laki laki anbayo haikidhi na haiwezi kukusanya pesa za kutosha na kumlipa kambole??
Unapopata pesa, hutakiwi kukimbilia kulipa madeni.
 
UNADHANI WAMEPEWA MUDA GANI WALIPE LAKINI HAWAJALIPA
Kila kitu ni mipango, yawezekana waliambiwa wawe wamelipa ndani ya time interval fulani, lakini ndani ya huo muda kulikuwa na mipango mingine ya maendeleo. Kwenye biashara hatuwezi kuacha kununua mzigo mpya, alaf hela tukalipie madeni.

Kabla ya kipindi Cha usajili kufika, tutampa hela yake na maisha mengine yataendelea.
 
Hakuna taasisi isiyodaiwa
Madeni ni kitu ya kawaida
Ukisoma club kubwa kama Madrid, man u, Inter Milan, n.k
Tena Yanga ina madeni machache
Siunawaona wanaogopa kudaiwa wamemg'ang'ania flop kama Miquison, saidoo, jobe nk
Hhatukatai kudaiwa lakini tatizo lipo kwenye ishu serious mpaka mpigwe ban ndiyo mshtiuke aise kwani huyo kamble ana muda gani
 
Back
Top Bottom