Ila Roman Abrahamovich alikuwa kiongozi kweli

Mimi ni mkristo lakini si mjinga wa kuamini watu fulani wanaakili kuliko wengine..Mungu hana ubaguzi tunachotofautiana ni matumizi ya akili.
Kuna watu wana akili kuliko wengine mkuu. Ndio nature ilivyo sio suala la kuamin ndio uhalisia. Hao watu wapo wa darasani ulikutana nao na wengine utakutana nao kwenye maisha ya kawaida. Usipokubali hilo hutajifunza chochote kwenye maisha. Kuna Wakat unaweza ukawa na kijana wa kaz ukaona huyu yuko vizuri kazin kuliko huyu ile karama kapewa. Yule asiyekuwa nayo ana eneo lake lingine kapewa so hizo karama zikikutana kunatengenezwa mfumo imara. Nakupa home work. Fuatilia jamii zinazochukiwa sana. Utakuja kukuta ndio zenye mafanikio. Hata kwenye familia kuna ambae anajiweza na kuna ambao wanaomuona anaringa. Siri kubwa kuliko zote ni kunyenyekea na kutii. Utajifunza mengi na utapendwa na wengi. Mungu mwenyewe anapenda wanyenyekevu.
 
Mimi ni mkristo lakini si mjinga wa kuamini watu fulani wanaakili kuliko wengine..Mungu hana ubaguzi tunachotofautiana ni matumizi ya akili.

Aliyekuambia Mungu hana ubaguzi/upendeleo ndio kakudanganya. Au unajidanganya sana.

Watu hawalingani akili na pia hawalingani uwezo wa kutumia akili zao.
Wapo Watu wenye akili sana na wapo Watu wenye akili ndogo.
Hilo lipo wazi wanaopinga ni wale wanaoukatsa ukweli na wanaopenda kujifariji (jambo ambalo sio baya)
 
John Obi Mikel: "My dad got kidnapped while I was playing for Nigeria at the 2018 World Cup in Russia."

"We were about to play against Argentina. Two hours before the game I got a phone call from my brother saying my dad got kidnapped."

"The first time he was kidnapped was shocking, but the second time was even more shocking because I was about to go into one of the biggest games of my life."

“I couldn't leave the room. I couldn't tell anybody. I was alone in the room for about 30 minutes, thinking what am I going to do?"

"But we're about to go into the biggest game of our lives. We're about to play against Lionel Messi and Argentina."

"Chelsea were very supportive. I remember Roman Abramovich saying 'do you want me to send people over? Because I know if I send people over, I can get your dad out' — I was like, how are you going to do this?"

"He said don't worry about that. Just let me know if you want that option, I can do it."

(@talkSPORT)

4/5 days after the game, John's father was released and rescued by policeView attachment 2808914

Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
Kuna watu wana akili kuliko wengine mkuu. Ndio nature ilivyo sio suala la kuamin ndio uhalisia. Hao watu wapo wa darasani ulikutana nao na wengine utakutana nao kwenye maisha ya kawaida. Usipokubali hilo hutajifunza chochote kwenye maisha. Kuna Wakat unaweza ukawa na kijana wa kaz ukaona huyu yuko vizuri kazin kuliko huyu ile karama kapewa. Yule asiyekuwa nayo ana eneo lake lingine kapewa so hizo karama zikikutana kunatengenezwa mfumo imara. Nakupa home work. Fuatilia jamii zinazochukiwa sana. Utakuja kukuta ndio zenye mafanikio. Hata kwenye familia kuna ambae anajiweza na kuna ambao wanaomuona anaringa. Siri kubwa kuliko zote ni kunyenyekea na kutii. Utajifunza mengi na utapendwa na wengi. Mungu mwenyewe anapenda wanyenyekevu.
Watu wote tuna akili sawa...wote tuko perfect..Tunstofautiana uwezo na maamuzi ya kuamua na kukocentrate nini tunataka...kuna maamuzi mengine tunayafanya subconciously..bila hata kujitambua..hii pia inaweza kuchangiwa na mazingira tunamokulia, mambo tunayosikia tangu udogo, treatment ya mama zetu tukiwa bado tumboni na vitu vingine vingi sana..but in general wote tuko sawa kabisa kwa kila kitu...
Ni rahisi sana kukuta mtoto wa Messi au Ronaldo nao ni wacheza mpira huku darasani zikakataa kupamba kabisa..why?Wanakua-exposed kwenye mazingira hayo tangu tumboni mwa mama zao...mifano ni mimi..mtoto wa professor nae unashangaa anakuwa professor...ni mazingira na kuona ni kitu anachoweza kuachieve, mtoto wa Rais na rais sana kuwa naye Rais...mifano ni mingi sana...

Madereva wawili wote wanaweza kumiliki gari mbili zenye uwezo sawa...280km/h..hapo hapo kuna mmoja huwa hafiki 80km/h na kuna nwingine anapiga mpaka hiyo 280km/h na bado anatamani kukanyaga accelerator......Ubongo ni kama gari tu unauwezo wa kuchakata sawa...ni jukumu lako kutambua unataka kuchakata nini, kiasi gani na level gani....??
 
Watu wote tuna akili sawa...wote tuko perfect..Tunstofautiana uwezo na maamuzi ya kuamua na kukocentrate nini tunataka...kuna maamuzi mengine tunayafanya subconciously..bila hata kujitambua..hii pia inaweza kuchangiwa na mazingira tunamokulia, mambo tunayosikia tangu udogo, treatment ya mama zetu tukiwa bado tumboni na vitu vingine vingi sana..but in general wote tuko sawa kabisa kwa kila kitu...
Ni rahisi sana kukuta mtoto wa Messi au Ronaldo nao ni wacheza mpira huku darasani zikakataa kupamba kabisa..why?Wanakua-exposed kwenye mazingira hayo tangu tumboni mwa mama zao...mifano ni mimi..mtoto wa professor nae unashangaa anakuwa professor...ni mazingira na kuona ni kitu anachoweza kuachieve, mtoto wa Rais na rais sana kuwa naye Rais...mifano ni mingi sana...

Madereva wawili wote wanaweza kumiliki gari mbili zenye uwezo sawa...280km/h..hapo hapo kuna mmoja huwa hafiki 80km/h na kuna nwingine anapiga mpaka hiyo 280km/h na bado anatamani kukanyaga accelerator......Ubongo ni kama gari tu unauwezo wa kuchakata sawa...ni jukumu lako kutambua unataka kuchakata nini, kiasi gani na level gani....??
Mi nadhani Kila mtu anaupekee wake Kuna vitu naturally akili Yako inakuwa sharp kuvimaster kuliko wengine.... na pia kunavitu akili Yako inakuwa mzito kuvifanya kuliko wengine... kwahiyo mi naona ni Bora kuinvest kwenye vitu ambavyo naturally akili Yako Iko wired kuvifanya vizuri.

Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
 
Wajinga ndio mnaamini waisraeli wanaakili kuliko watu wote?
Mkuu inawezekana ikawa kweli. Kuna taarifa za kuthibitika kuwa akili ya Muisraeli inaandaliwa kuwa nzuri. Ebu gugu uone namna gani mwanamke mjamzito wa Kiisraeli anavyokuwa handled kipindi chote cha ujauzito wake. Halafu gugu tena uone mtoto chini ya miaka 2, 4 na 10 anavyokuwa treated ndio utakubaliana na ukweli huo.
 
Watu wote tuna akili sawa...wote tuko perfect..Tunstofautiana uwezo na maamuzi ya kuamua na kukocentrate nini tunataka...kuna maamuzi mengine tunayafanya subconciously..bila hata kujitambua..hii pia inaweza kuchangiwa na mazingira tunamokulia, mambo tunayosikia tangu udogo, treatment ya mama zetu tukiwa bado tumboni na vitu vingine vingi sana..but in general wote tuko sawa kabisa kwa kila kitu...
Ni rahisi sana kukuta mtoto wa Messi au Ronaldo nao ni wacheza mpira huku darasani zikakataa kupamba kabisa..why?Wanakua-exposed kwenye mazingira hayo tangu tumboni mwa mama zao...mifano ni mimi..mtoto wa professor nae unashangaa anakuwa professor...ni mazingira na kuona ni kitu anachoweza kuachieve, mtoto wa Rais na rais sana kuwa naye Rais...mifano ni mingi sana...

Madereva wawili wote wanaweza kumiliki gari mbili zenye uwezo sawa...280km/h..hapo hapo kuna mmoja huwa hafiki 80km/h na kuna nwingine anapiga mpaka hiyo 280km/h na bado anatamani kukanyaga accelerator......Ubongo ni kama gari tu unauwezo wa kuchakata sawa...ni jukumu lako kutambua unataka kuchakata nini, kiasi gani na level gani....??
Wewe nadhan ni wale watu wanaopenda ubishi wa kijinga. So wale watoto kwenye familia wako faster zaid ya wenzao unawazungumziaje. Mtu kama mo dewji unafikir baba yake ni mjinga yeye ndio akawa kiongoz wa kampuni zake. Au mbowe hujiuliz kwanini yeye katika watoto wengi wa mzee mbowe. Watu wote wako sawa ila sio watu wote wakko sawa kwenye kila kitu. jaribu kutofautisha nature na naturer. Ndio maana tuna kuja na idea tofauti. Wenzetu wamefanikiwa sana baada ya kugundua hiz asili. Kwa mfano ukienda China watu wa asili ya fujiang ndio wako faster kwenye kila kitu na serikali yao kwenye yale maeneo nyeti ndio wanashikilia ukija Kenya kuna mkikuyu ukienda Congo kuna wakasai ukienda nigeria kuna waibo ukija ukienda Rwanda kuna watutsi ukija bongo kuna wachagga India watu wa Gujarati wako faster kuliko wahind wote nk. Wako hivyo tu washaumbwa hivyo. Na sio ubaguz ni katika kubalance mfumo wa dunia. Hata watoto uliozaa kuna ambao wako faster wapo wa kati na wapo slow laner. Hiv kwa mfano unapomuona simba anamla swala porini unafikiri Mungu ni mbaguz au?
 
Wewe nadhan ni wale watu wanaopenda ubishi wa kijinga. So wale watoto kwenye familia wako faster zaid ya wenzao unawazungumziaje. Mtu kama mo dewji unafikir baba yake ni mjinga yeye ndio akawa kiongoz wa kampuni zake. Au mbowe hujiuliz kwanini yeye katika watoto wengi wa mzee mbowe. Watu wote wako sawa ila sio watu wote wakko sawa kwenye kila kitu. jaribu kutofautisha nature na naturer. Ndio maana tuna kuja na idea tofauti. Wenzetu wamefanikiwa sana baada ya kugundua hiz asili. Kwa mfano ukienda China watu wa asili ya fujiang ndio wako faster kwenye kila kitu na serikali yao kwenye yale maeneo nyeti ndio wanashikilia ukija Kenya kuna mkikuyu ukienda Congo kuna wakasai ukienda nigeria kuna waibo ukija ukienda Rwanda kuna watutsi ukija bongo kuna wachagga India watu wa Gujarati wako faster kuliko wahind wote nk. Wako hivyo tu washaumbwa hivyo. Na sio ubaguz ni katika kubalance mfumo wa dunia. Hata watoto uliozaa kuna ambao wako faster wapo wa kati na wapo slow laner. Hiv kwa mfano unapomuona simba anamla swala porini unafikiri Mungu ni mbaguz au?
Ila mbona wapo watu mashuhuri duniani kama akina Steve jobs,Albert Einstein ambao hapo awali walikuwa categorized as slow learners

Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
 
Ila mbona wapo watu mashuhuri duniani kama akina Steve jobs,Albert Einstein ambao hapo awali walikuwa categorized as slow learners

Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
Akili sio ule uwezo wa darasani tu ni pamoja na namna unavyoweza kuchanganua Mambo na kuyatafsiri kwenye uhalisia. Kuna watu tumesoma nao walikuwa vilaza madarasan lakin huku mtaan wameweza kutafsiri mitaa na kuja na majibu ya maisha. Usisahau Albert Einstein ni wale watu wenye autism flan wengi wao ni magenius
 
Aliyekuambia Mungu hana ubaguzi/upendeleo ndio kakudanganya. Au unajidanganya sana.

Watu hawalingani akili na pia hawalingani uwezo wa kutumia akili zao.
Wapo Watu wenye akili sana na wapo Watu wenye akili ndogo.
Hilo lipo wazi wanaopinga ni wale wanaoukatsa ukweli na wanaopenda kujifariji (jambo ambalo sio baya)
Mungu hana ubaguzi.weka scientific difference hapa kati ya ubongo wa aliye na akili na asiye na akili
 
Wayahudi wana akili. Hii wala siyo nadharia. Anagalia tu trends za ugunduzi wa madawa, technolojia, silaha, biashara na mengine mengi.
Kuna wanasayansi wa kila aina,wazungu,wachina,warusi nk usidanganyike.ni mtu mjinga tu anayeweza kufiki face moja inaakili kuliko wengine.mfano angalia wahindi.makampuni mengi makubwa maceo ni wao.
 
Wayahudi wana akili. Hii wala siyo nadharia. Anagalia tu trends za ugunduzi wa madawa, technolojia, silaha, biashara na mengine mengi.
Nakuhakikishia 60 ya hizo gunduzi ni waafrika lakini kwa sababu waafrika wanategemea Vyombo vya hao rangi ya kahawia basi inaonekana ni hao hao rangi ya kahawia!
 
Huyo jamaa ni Muhuni zaidi hata ya uhuni wenyewe, nahisi Watekaji walivyosikia tu Jina abrahamovic kwenye Huo Utekaji ilibidi wamuachie Dingi.

Hiyo ya police kwenda kumuokoa nahis ni kwasababu tu Police Wanapendaga Sifa ila huyo Mzee aliachiliwa Huru bila purukushani.

Putin anamuheshimu sana Abrahamovic maan ndo alimuweka kwenye kiti cha Urais.
 
Huyo jamaa ni Muhuni zaidi hata ya uhuni wenyewe, nahisi Watekaji walivyosikia tu Jina abrahamovic kwenye Huo Utekaji ilibidi wamuachie Dingi.

Hiyo ya police kwenda kumuokoa nahis ni kwasababu tu Police Wanapendaga Sifa ila huyo Mzee aliachiliwa Huru bila purukushani.

Putin anamuheshimu sana Abrahamovic maan ndo alimuweka kwenye kiti cha Urais.
halafu mamafia wengi ukiwaangalia Kwa personality ya nje hutadhania kama wanafanya hayo Mambo

Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom