Ikitokea Wapinzani wamekubaliana kuunganisha nguvu uchaguzi mkuu ujao, nani apeperushe bendera yao Urais 2025

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
8,560
11,869
Kwa hali ya kisiasa ilivyo hivi sasa nchini, ni dhahiri mgombea urais wa chama Tawala yuko bayana na anafahamika kwa wanainchi na waTanzania wote kwa ujumla, ni suala la muda tu waamue...

Kizungumkuti na kasumba iko upinzani, kwa mfano tuliona majuzi kabla ya uchaguzi hapo DRC, wapinzani mara waende retreats South Africa, mara workshop, mara seminar ambazo zililenga kuamua mgombea urais moja kutoka upinzani.

Cha kusikitisha, hadi uchaguzi unafiki hakuna maafikiano baina yao, hali ya kua mgombea Urais wa chama Tawala anafahamika nchi nzima miaka mi4 kabla ya uchaguzi. wagombea upinzani wamejulikana siku 90 kabla ya uchaguzi...

Naliona hili likitokea pia Tanzania siku 90 kabla ya uchaguzi ndio mgombea urais wa upinzani anajulikana kwenye nchi kubwa kama Tz.

Anyway, kwa maoni na mtazamo wako, ikitokea upinzani Tanzania wameafikiana kusimamisha mgombea Urais wa pamoja, unadhani ni mgombea yupi mzalendo asie na shaka, anaeaminika na wote, anakubalika na wote na anaeweza kupewa jukumu la kuwaongoza wengine na kupeperusha bendera ya upinzani uchaguzi mkuu ujao2025🐒

Hata hivyo, ifahamike bayana kwamba, kuna kila dalili wapinzani wengi kumuunga mkono mgombea urais wa chama Tawala uchaguzi mkuu ujao...

Mungu Ibariki Tanzania
 
Mimi naona wangejikita kwenye kutafuta viti vya ubunge na udiwani tu. Kwa sababu huku kwenye Urais watakuwa wanapoteza muda wao tu ,kwa kuwa Rais Samia anapendwa na kukubalika na watanzania haijapata kutokea.

Rais Samia Ndio chaguo na Tumaini la watanzania.
 
Mimi naona wangejikita kwenye kutafuta viti vya ubunge na udiwani tu. Kwa sababu huku kwenye Urais watakuwa wanapoteza muda wao tu ,kwa kuwa Rais Samia anapendwa na kukubalika na watanzania haijapata kutokea.

Rais Samia Ndio chaguo na Tumaini la watanzania.
for sure wataepuka fedheha na watasave hata pesa kidogo ambazo pia hawana 🐒
 
Kuna sheria ilitungwa ya uchakuzi baada ya UKAWA kuleta shida inazuia hiyo kitu sasa
Lakini ACT walimtosa mgombea urasi wao Membe in favor of mgombea urasi wa Chadema2020 🐒

wanaweza kufanya hivyo kwa makubaliano na utashi wao kisiasa nje ya sheria kama walivyofanya huko nyuma 🐒
 
Kwa hali ya kisiasa ilivyo hivi sasa nchini, ni dhahiri mgombea urais wa chama Tawala yuko bayana na anafahamika kwa wanainchi na waTanzania wote kwa ujumla, ni suala la muda tu waamue...

Kizungumkuti na kasumba iko upinzani, kwa mfano tuliona majuzi kabla ya uchaguzi hapo DRC, wapinzani mara waende retreats South Africa, mara workshop, mara seminar ambazo zililenga kuamua mgombea urais moja kutoka upinzani.

Cha kusikitisha, hadi uchaguzi unafiki hakuna maafikiano baina yao, hali ya kua mgombea Urais wa chama Tawala anafahamika nchi nzima miaka mi4 kabla ya uchaguzi. wagombea upinzani wamejulikana siku 90 kabla ya uchaguzi...

Naliona hili likitokea pia Tanzania siku 90 kabla ya uchaguzi ndio mgombea urais wa upinzani anajulikana kwenye nchi kubwa kama Tz.

Anyway, kwa maoni na mtazamo wako, ikitokea upinzani Tanzania wameafikiana kusimamisha mgombea Urais wa pamoja, unadhani ni mgombea yupi mzalendo asie na shaka, anaeaminika na wote, anakubalika na wote na anaeweza kupewa jukumu la kuwaongoza wengine na kupeperusha bendera ya upinzani uchaguzi mkuu ujao2025🐒

Hata hivyo, ifahamike bayana kwamba, kuna kila dalili wapinzani wengi kumuunga mkono mgombea urais wa chama Tawala uchaguzi mkuu ujao...

Mungu Ibariki Tanzania
CCCM Wana mgombea mpya mwaka ujao.
 
Aisee, ni ngumu sana kuwataja. Unaanzia wapi?

CHADEMA? Aikambe, huko wamebakia kuwa wanaharakati tu-sasa wanataka tuanze bifu na Wachina!

ACT-Wazalendo? wa kutoka huko atatuambia tunahitaji passpoti kwenda murogoro.

UDP? NCCR? TADEA? n.k n.k🤔

...labda Umoja Party kama imesajiliwa. Job Ndugai as President na Halima Mdee as Vice President.

Lakini huko kwengine, mbali ya CCM, naona mawingu tu.

.
 
Aisee, ni ngumu sana kuwataja. Unaanzia wapi?

CHADEMA? Aikambe, huko wamebakia kuwa wanaharakati tu-sasa wanataka tuanze bifu na Wachina!

ACT-Wazalendo? wa kutoka huko atatuambia tunahitaji passpoti kwenda murogoro.

UDP? NCCR? TADEA? n.k n.k🤔

...labda Umoja Party kama imesajiliwa. Job Ndugai as President na Halima Mdee as Vice President.

Lakini huko kwengine, mbali ya CCM, naona mawingu tu.

.
So from,

1. UMOJA PARTY Pres&VP -Yustino na Mdee
 
Kwa hali ya kisiasa ilivyo hivi sasa nchini, ni dhahiri mgombea urais wa chama Tawala yuko bayana na anafahamika kwa wanainchi na waTanzania wote kwa ujumla, ni suala la muda tu waamue...

Kizungumkuti na kasumba iko upinzani, kwa mfano tuliona majuzi kabla ya uchaguzi hapo DRC, wapinzani mara waende retreats South Africa, mara workshop, mara seminar ambazo zililenga kuamua mgombea urais moja kutoka upinzani.

Cha kusikitisha, hadi uchaguzi unafiki hakuna maafikiano baina yao, hali ya kua mgombea Urais wa chama Tawala anafahamika nchi nzima miaka mi4 kabla ya uchaguzi. wagombea upinzani wamejulikana siku 90 kabla ya uchaguzi...

Naliona hili likitokea pia Tanzania siku 90 kabla ya uchaguzi ndio mgombea urais wa upinzani anajulikana kwenye nchi kubwa kama Tz.

Anyway, kwa maoni na mtazamo wako, ikitokea upinzani Tanzania wameafikiana kusimamisha mgombea Urais wa pamoja, unadhani ni mgombea yupi mzalendo asie na shaka, anaeaminika na wote, anakubalika na wote na anaeweza kupewa jukumu la kuwaongoza wengine na kupeperusha bendera ya upinzani uchaguzi mkuu ujao2025🐒

Hata hivyo, ifahamike bayana kwamba, kuna kila dalili wapinzani wengi kumuunga mkono mgombea urais wa chama Tawala uchaguzi mkuu ujao...

Mungu Ibariki Tanzania
Wamsimamishe Mdude Nyagali,makamo wake awe Rose Mayemba ,aisee nchi wanachukua asubuhi tu na sumu ya nyigu anaandika historia mpya
 
So from,

1. UMOJA PARTY Pres&VP -Yustino na Mdee
Either or is fine. Huko kwengine wapewe tu Ukatibu katibu, labda Uwaziri mmoja, nashauri Wizara mpya ya Veta na Ajira, wakapambane na "ajira za laana"😌 chosha mbaya sana hii lugha yao. Tuone kama wana mbadala

Hatahivyo Mkuu ukweli tunajua Ukawa ilisambaratika vipi. na hivi karibuni wamekuwa wakirushiana vijembe, ila ikitikotea, imetokea hivyo wakaungana, basi wawatazame Ufipa kwa macho ya Ziada 👀 kule uchu wa madaraka, upo kwenye scale, kama ni rithcher, 10.0! Nchi itatememeka na kububujikwa na machozi, pun intended Lucas, pun intended.

Ona serious note, kama nilivyogusia juu. Naona mawingu kwakweli.
 
Back
Top Bottom