IFFHS yatoa timu 10 bora za CAF, Simba ya 9

Timu no 9 Kwa u Bora isiyo na kombe lolote hata la uji Mwaka wa pili huu

Na washabiki wake hao wanafurahi
Ni sawa na CCM kuwaambia Wananchi wake kuwa Pato la mtanzania limekuwa wakati Wananchi hata Milo miwili hawawezi kuimudu
Kunywa panadol mkuu,, yatapoa tu maumivu
 
Kwenye Football Data Base Simba ni ya 124.
Screenshot_20230312_112411_Chrome.jpg



Timu no 9 Kwa u Bora isiyo na kombe lolote hata la uji Mwaka wa pili huu

Na washabiki wake hao wanafurahi
Ni sawa na CCM kuwaambia Wananchi wake kuwa Pato la mtanzania limekuwa wakati Wananchi hata Milo miwili hawawezi kuimudu
 
Timu no 9 Kwa u Bora isiyo na kombe lolote hata la uji Mwaka wa pili huu

Na washabiki wake hao wanafurahi
Ni sawa na CCM kuwaambia Wananchi wake kuwa Pato la mtanzania limekuwa wakati Wananchi hata Milo miwili hawawezi kuimudu
Kuna timu tano hapo hazina hata kijiko ukiitoa hiyo simba na wengine wanamiaka10 hwajawahi kushika nafasi ya pili kwenye ligi zao nchini mwai
 
View attachment 2547160
IFFHS imetoa orodha ya timu 10 bora za mwezi za CAF
1. Ahly - 220 points
2. Wydad - 170 points
3. Zamalek - 154 points
4. Pyramids- 140.5 points
5. Al Hilal - 132.75 points
6. Mamelodi- 127 points
7. CR Belouzidad - 117.75 points
8. Raja Casablanca - 117 points
9. Simba SC - 113 points
10. Petro Luanda - 112 points

Nakutafunia
Yaani ukiwatoa waarabu inabaki Mamelod kisha Simba Sc tu. Baaaasi
Hongereni
 
Timu no 9 Kwa u Bora isiyo na kombe lolote hata la uji Mwaka wa pili huu

Na washabiki wake hao wanafurahi
Ni sawa na CCM kuwaambia Wananchi wake kuwa Pato la mtanzania limekuwa wakati Wananchi hata Milo miwili hawawezi kuimudu
Nyie wenye kombe leteni list yenu

Najua mtashindwa natoa chansi hata ya uongo tu mnaruhusiwa kuja nayo

Mkishindwa na hapo nyie ni losers na ndio maana...au basi
 
View attachment 2547160
IFFHS imetoa orodha ya timu 10 bora za mwezi za CAF
1. Ahly - 220 points
2. Wydad - 170 points
3. Zamalek - 154 points
4. Pyramids- 140.5 points
5. Al Hilal - 132.75 points
6. Mamelodi- 127 points
7. CR Belouzidad - 117.75 points
8. Raja Casablanca - 117 points
9. Simba SC - 113 points
10. Petro Luanda - 112 points

Nakutafunia
Yaani ukiwatoa waarabu inabaki Mamelod kisha Simba Sc tu. Baaaasi
Na Petro Luanda(Angola).....basi..
 
View attachment 2547160
IFFHS imetoa orodha ya timu 10 bora za mwezi za CAF
1. Ahly - 220 points
2. Wydad - 170 points
3. Zamalek - 154 points
4. Pyramids- 140.5 points
5. Al Hilal - 132.75 points
6. Mamelodi- 127 points
7. CR Belouzidad - 117.75 points
8. Raja Casablanca - 117 points
9. Simba SC - 113 points
10. Petro Luanda - 112 points

Nakutafunia
Yaani ukiwatoa waarabu inabaki Mamelod kisha Simba Sc tu. Baaaasi

Hivi hizi data huwa mnamuongopea nani na kwa faida ya nani!? Mbona hamuwezi kuficha umbumbumbu ndugu zangu napata na walakini na aina ya mashabiki wa timu hiyo..kwenye website yao data ambazo zipo updated ni za 1Feb 2022 mpaka 31 Feb 2023..Wewe na Kazumari wako na Mo dewji kama kawaida yenu mkakaa kutafuta cha kuwaongopea mashabiki maandazi wenu na hili muwachanganye zaidi mkaandika tarehe ya kimagumashi 1 march 22 mpaka 28 feb 23 mnapingana kabisa na timeline iliyopo kwenye database zao ambazo zipo updated tarehe 23 February mwaka huu..Huu ni mradi wa nani wa kuwaongopea mbumbumbu?unavyoona hapo simba ipo top ten?
20230312_115027.jpg
 
Tatizo kuna watu wanaichukulia poa sana Simba, ila kiukweli wamepambana sana kufika walipofika hata kama msimu huu wana timu mbovu kama wasemavyo baadhi ya watu!
Timu zote lazima zipitie hali hiyo, ukiwa na timu nzuri kuna kipindi timu yako naishiwa makali kutokana na wachezaji kuzeeka au wachezaji wapya unaosajili kushindwa kuziba nafasi zilizoachwa wazi na wachezaji wa zamani.
 
Back
Top Bottom