Huyu Ndio Mwanamke

Pilipilihoho

JF-Expert Member
Jan 29, 2016
202
145
Mwanamke akikuta pesa kwenye mifuko ya suruali yako anazitoa kimya kimya na wala hatakwambia kitu.

Sasa akute umesahau kondomu kwenye mifuko ndio utajua kama umeoa kipaza sauti cha sokoni aua mtu!

Ndio maana mimi huwa nafungasha kondomu ndani ya hela, akiziona anachukua hela na kubakia kusonya tu.
 
Mwanamke akikuta pesa kwenye mifuko ya suruali yako anazitoa kimya kimya na wala hatakwambia kitu.

Sasa akute umesahau kondomu kwenye mifuko ndio utajua kama umeoa kipaza sauti cha sokoni aua mtu!

Ndio maana mimi huwa nafungasha kondomu ndani ya hela, akiziona anachukua hela na kubakia kusonya tu.
Mwanamke wa hivyo mmmh...wakuacha ipite kimya kimya kisa pesa imezungushwa na ndomu..atakuwa kimada .
 
Halafu mwanamke wa kusachi mifuko ya mwaume huyo siyo mpenzi ni KAHABA.
Mkuu unaonyesha umekuwa ukioata makahaba kwa jina la mwanamke.
Ushapigwa sana mpka umekuja kulialia.
 
Back
Top Bottom