Pilipilihoho
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 202
- 145
Mwanamke akikuta pesa kwenye mifuko ya suruali yako anazitoa kimya kimya na wala hatakwambia kitu.
Sasa akute umesahau kondomu kwenye mifuko ndio utajua kama umeoa kipaza sauti cha sokoni aua mtu!
Ndio maana mimi huwa nafungasha kondomu ndani ya hela, akiziona anachukua hela na kubakia kusonya tu.
Sasa akute umesahau kondomu kwenye mifuko ndio utajua kama umeoa kipaza sauti cha sokoni aua mtu!
Ndio maana mimi huwa nafungasha kondomu ndani ya hela, akiziona anachukua hela na kubakia kusonya tu.