Hapo zamani za kale alikuwepo Profesa mahiri na msema kweli.
Aliwahi kuzungumza ukweli kuhusu Tanganyika na kuwa ipatikane sasa kwa hiari isisubiri kama yule Rais wa Romania.
View: https://youtu.be/vVrd__CvSkk?si=fJonVYPIFHB7fCOy
Kwakweli ccm ni laanaalipoingia ccm baada ya kuwa kabudi kawa bundi
Kwa hiyo alienda jalalani akitokea wapiNondo Nzito Kabla Hajaenda Jalalani
Hapo zamani za kale alikuwepo Profesa mahiri na msema kweli.
Aliwahi kuzungumza ukweli kuhusu Tanganyika na kuwa ipatikane sasa kwa hiari isisubiri kama yule Rais wa Romania.
View: https://youtu.be/vVrd__CvSkk?si=fJonVYPIFHB7fCOy
Heshima kurudi siyo rahisi. Amebakiza kazi moja tu ambayo ni uchawa tuKabudi arudi ud kufundisha law, heshima yake irudi
Badala ya Kabudi sasa ni kabugi...alipoingia ccm baada ya kuwa kabudi kawa bundi
Ali let siasa iharibu brand aliyokuwa aanayo kwneye taaluma. Tokea awekwe benchi hana confidence tena ya kutoka mbele za watu na kuongeaKabudi ametia aibu sana, na mama kwenye cabinet yake amemtema hataki kukaa na mnafki kama Kabudi.
View attachment 2984350
Sidhan kama wanafunzi watamchukulia serious tena yet even wakufunzi wenzie. Kuna image flani ukiiharibu kwenye jamii there is no going backKabudi arudi ud kufundisha law, heshima yake irudi
Duuh, Aisee hii ilikiwa lini na wapi? Madini sana haya wakati Prof. Kabudi akiwa na akili zake before hajalishwa damu ya UchawaHapo zamani za kale alikuwepo Profesa mahiri na msema kweli.
Aliwahi kuzungumza ukweli kuhusu Tanganyika na kuwa ipatikane sasa kwa hiari isisubiri kama yule Rais wa Romania.
View attachment 2984444
Akili ya Kabudi iliharibiwa na kikombe cha dawa ya kiasili ya korona toka MadagascarKabudi ametia aibu sana, na mama kwenye cabinet yake amemtema hataki kukaa na mnafki kama Kabudi.
View attachment 2984350