Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 2,414
- 4,778
Wanaenda na upepo, kuna ambao aliuanzisha wa hvhv ukafutwa akarudsha huuWafute umefanyaje
Umesoma mwananchi wameomba msamaha kuhusu zile kura za maoni ?
Wanaenda na upepo, kuna ambao aliuanzisha wa hvhv ukafutwa akarudsha huuWafute umefanyaje
Itakuwa maelekezo kutoka juuHahaha we jamaa umekomaa watafuta tena
Huu naona bado una uhai, kuna mmoja na reply tu nakuta kauzi kameshapeperushwaItakuwa maelekezo kutoka juu
Ila tushawaona na usanii waoItakuwa maelekezo kutoka juu
WanatuongopeaWanaenda na upepo, kuna ambao aliuanzisha wa hvhv ukafutwa akarudsha huu
Umesoma mwananchi wameomba msamaha kuhusu zile kura za maoni ?
Muuza madafu katika Moja na mbili😊View attachment 2974816tulisema kwamb huy lazma atakuw mtu wa system wakakataa 🤣
Hapa alikua kwenye tukio ganiiiMuuza madafu katika Moja na mbili😊View attachment 2974816
Wewe mimi ni Dume la Mbegu mkuu ukinipa demu wako nampanda Hapo nlkua na mquote dada yenu wa marekani tatizo mnakuwa mnamitazamo hasi sana au na ww ni chawa wa mama KIZI nini?We ni ME au KE?
natafuta pesa nikirudi ukimani niwe natengeneza documentary nawauzia wazungu za mambo ya ajabuajabu yanayotokea dunia ya ukimaniBora wangeniweka hata mimi kutoka huku Nyashishi nikauza madafu
for you information, ujasusi ndio unatakiwa uwe hivyo,Hapa ndio utaelewa kwa nini siri nyingi zinamfikia Mange Kimambi Yani mtu kama huyu tusingepaswa tumuone tena sababu ni Jasusi na watu walishaanza kumtambua kitambo eti ooh na yy anatudanganya kwa Ayo Tv hakuamin kama mama na Ikulu wangempa mwaliko😂😂😂 waanike masiri yao tu tuwajue na watu wao na kuna wengine tunakunywaga nao bia huko wanavimba wametoka geti Jeusi Sasa Unyeti wa Idara Uko wapi?
We unaona mtu ni mfuasi wa Mange halafu unashangaa kusema "pyee"Pyee ndiyo Nini? Be a man
Huu uzi wa DeepPond hauwezi kukamilika bila kumtaja mama J.Nilitaka nami niulize ila nkasema hayanihusu maana,,ngoja niendelee na uzi wa deepond
Amepangiwa majukumu mengineHivi yule ras wa ferry bado yupo?
Haya mliokula dafu
Yule muigizaji wa Magu, jamaa alikua anacheza movie nyingi kweli.Hivi yule ras wa ferry bado yupo?