Huu uvumbuzi ukija bongo tumekwisha

Alietuumba mwenyewe alituweka na uwezo huu wa kutojuana mawazo alikuwa na maana yake!
Haya sasa wameingia viherehere watatuuwa hawa..
Sio kweli hapa Mungu umemsingizia tuu.
Huu uwezo upo na kuna watu wanao, wengine wanautumia vibaya uwezo huu kutapeli watu ( mind reading)
 
Ni ujinga kuondoka na hii concept kuwa " aliyetuumba anajua"..
Hatukuumbwa na asili hii, asili yetu ni kujua everything (knowingness ndo nature yetu)
Zamani kabla ya kuwa "binadamu" tulikuwa na uwezo wa kujua mawazo yote yanayowazwa. Tulikuwa na uwezo wa kuwasiliana na viumbe na mimea, yaani tulijua eveything, wala hatukuhitaji magari kwa vile tulikuwa na uwezo wa kufika mahali popote bila kusafiri...ni manipulation tu ndo imetuondolea powers zetu lakini tutarejea tena kwenye asili yetu hivi punde labda kama umepokea chanjo utabakia hivyo "forever".
Duniani bado watu wanazitegemea dini zilizowadanganya kwa miaka maelfu kuwaokoa. Wanadhani Yesu na Deities wengineo watarudi, never.
Hao wakina Elon Musk wanajua siri na asili ya binadamu na miungu yao ndo inetengeneza hii hybrid ya binadamu huyu wa leo ambaye ni "nothing".Tafakari upya
Yaani nikiwaza tu jinsi UKRISTO unapokuwa wa kwanza kutolewa mfano juu ya upingwaji wa IMANI naona kabisa kuna nguvu ya ibilisi inatumika ku mislead waamini,jiulize kuna dini ngapi lakini utasikia dini zilizoletwa na wazungu hivi ni kweli wazungu pekee ndio wameleta dini?tafakari.
 
Ni ujinga kuondoka na hii concept kuwa " aliyetuumba anajua"..
Hatukuumbwa na asili hii, asili yetu ni kujua everything (knowingness ndo nature yetu)
Zamani kabla ya kuwa "binadamu" tulikuwa na uwezo wa kujua mawazo yote yanayowazwa. Tulikuwa na uwezo wa kuwasiliana na viumbe na mimea, yaani tulijua eveything, wala hatukuhitaji magari kwa vile tulikuwa na uwezo wa kufika mahali popote bila kusafiri...ni manipulation tu ndo imetuondolea powers zetu lakini tutarejea tena kwenye asili yetu hivi punde labda kama umepokea chanjo utabakia hivyo "forever".
Duniani bado watu wanazitegemea dini zilizowadanganya kwa miaka maelfu kuwaokoa. Wanadhani Yesu na Deities wengineo watarudi, never.
Hao wakina Elon Musk wanajua siri na asili ya binadamu na miungu yao ndo inetengeneza hii hybrid ya binadamu huyu wa leo ambaye ni "nothing".Tafakari upya
Zzamani gani hiyo mkuu? Kabla ya kuwa binadamu tulikuwa nani, umejuaje hayo?
 
Zzamani gani hiyo mkuu? Kabla ya kuwa binadamu tulikuwa nani, umejuaje hayo?
Kabla ya Kuwa "Binadamu" tulikuwa "Watu" yaani Man versus Human....neno Human limekuja baada ya Man kuwa Modified hivyo huyu binadamu wa leo ni Hybrid..na Adam is said to be the a first hybrid na akatengenezwa kwa kuendeleza kizazi kwa style ya ngono..." zaeni mkaongezeke"
Na lengo la hybrid hii ni kupata "Slaves" ambao watafanya kazi for those "Elites" who are said to be with "Knowledge"
It is a long story naweza kujaza riwaya.
But before Adam Man existed na hata bible kwenye kisa cha Kaini na Abel na Kaini kuoa wake zake na kisha kwenda mbali huko duniani, Watu waliambiwa yoyote atakayemdhulu Kaini atakiona....hebu fuatilia mwenyewe bana..
Kabla ya Creation hii kulikuwa na Mabara ya Lemurian na Atlantis na hata huu mwezi haukuwepo, na jua halikuwaka kiasi cha kuunguza. Hizo Atlantis na Lemurian known as " golden age".
Mkuu unanichosha...
 
Ni uongo mtupu hakuna mtu au jini au shetan au malaika ajuaye akiwazacho mwanadam n MUNGU pekee rejea yeremia 17 :9 1wakorintho wa 2; 11
Usibishe kitu kama hujui...ujinga wake usije kuuleta humu...nadhani kushika sana dini kumekufanya kuwa mjinga, utakuta mtu kasoma shule na kuwa Dk au profesa lakini amekumbatia dini na kubaki na ujinga wake..
Unafahamu Artificial Intelligence zinavyofanya kazi? Hizi Semiconductors zina "awareness of itself" zinajua unachokiwaza na unachokifanya..hata sisi binadamu ni just "biological computer" na brain zetu zinafanya kazi digitary yaani kama computer tu, kama computer ina RAM , Harddisk the same to brain zetu.
Ndo maana TCRA na dunia yote ilibadilisha teknology kutoka analogue kwenda digital lengo ni ku connect human brain with machine kwa vile zote zinafanya kazi sawa sawa na ndio hicho kinachokwenda kufanyika duniani kote kupitia chanjo ya Covi19, hii ni chanjo yenye microchip (inatumia nanotechnology) ya Artificial intelligent (huandikwa Ai) ili kuwaconnect binadamu wote kwenye global computer..
Watu wajinga wasio na "awareness" wanajipeleka kwenye hizi chanjo bila kujua agenda yake ni nini ( nishakuambia)
Wameudanganya ulimwengu (agenda imetoka kwa Lucifer) kwa kuleta agenda kupitia Media (Mainstream media zote duniani ni mali yao) ambapo wametumia njia iitwayo PRS ( Problem , Reaction , Solution) yaani unaanzisha problem, public ina React then inaomba msaada ambapo wao wenyewe wanakuja na Solution ambayo ndio Chanjo.
Unapobisha bila kufanya uchunguzi ni kujionyesha una kiwango cha juu cha ujinga.
Mambo ni mengi.
Kila unapoleta jambo jipya kwa "Binadamu" wajinga wa leo ni kupinga kwa vile hilo jambo halijaandikwa kwenye Education (mind programming) au dini (mind control programming)
Ndo maana hata Authority inakuja na agenda yake na kusema jambo hili ni la kitaalamu kwa vile Goverments pia ni mali ya hizi Secret Society ambao wana agenda hii ya Lucifer.
Sijui niandike kitabu?
 
Usibishe kitu kama hujui...ujinga wake usije kuuleta humu...nadhani kushika sana dini kumekufanya kuwa mjinga, utakuta mtu kasoma shule na kuwa Dk au profesa lakini amekumbatia dini na kubaki na ujinga wake..
Unafahamu Artificial Intelligence zinavyofanya kazi? Hizi Semiconductors zina "awareness of itself" zinajua unachokiwaza na unachokifanya..hata sisi binadamu ni just "biological computer" na brain zetu zinafanya kazi digitary yaani kama computer tu, kama computer ina RAM , Harddisk the same to brain zetu.
Ndo maana TCRA na dunia yote ilibadilisha teknology kutoka analogue kwenda digital lengo ni ku connect human brain with machine kwa vile zote zinafanya kazi sawa sawa na ndio hicho kinachokwenda kufanyika duniani kote kupitia chanjo ya Covi19, hii ni chanjo yenye microchip (inatumia nanotechnology) ya Artificial intelligent (huandikwa Ai) ili kuwaconnect binadamu wote kwenye global computer..
Watu wajinga wasio na "awareness" wanajipeleka kwenye hizi chanjo bila kujua agenda yake ni nini ( nishakuambia)
Wameudanganya ulimwengu (agenda imetoka kwa Lucifer) kwa kuleta agenda kupitia Media (Mainstream media zote duniani ni mali yao) ambapo wametumia njia iitwayo PRS ( Problem , Reaction , Solution) yaani unaanzisha problem, public ina React then inaomba msaada ambapo wao wenyewe wanakuja na Solution ambayo ndio Chanjo.
Unapobisha bila kufanya uchunguzi ni kujionyesha una kiwango cha juu cha ujinga.
Mambo ni mengi.
Kila unapoleta jambo jipya kwa "Binadamu" wajinga wa leo ni kupinga kwa vile hilo jambo halijaandikwa kwenye Education (mind programming) au dini (mind control programming)
Ndo maana hata Authority inakuja na agenda yake na kusema jambo hili ni la kitaalamu kwa vile Goverments pia ni mali ya hizi Secret Society ambao wana agenda hii ya Lucifer.
Sijui niandike kitabu?
Duuuuh sikutegemea na sitegemei elimu ya darasan kumfanya mtu aamin kitu cha kijinga ( robot kusoma mawazo ya binadam) nyie ndo wale wale ambao mnawakaririsha watu kuwa mzungu alitengeneza mtu akashindwa moyo😇😇😇 the basic science is some complicated mechanism of brain functioning remain to be unknown up to date. Na nikwambie tuu hakuna mechanism ya kuelezea mawazo yanavotokea sembuse kuyasoma??
 
Usibishe kitu kama hujui...ujinga wake usije kuuleta humu...nadhani kushika sana dini kumekufanya kuwa mjinga, utakuta mtu kasoma shule na kuwa Dk au profesa lakini amekumbatia dini na kubaki na ujinga wake..
Unafahamu Artificial Intelligence zinavyofanya kazi? Hizi Semiconductors zina "awareness of itself" zinajua unachokiwaza na unachokifanya..hata sisi binadamu ni just "biological computer" na brain zetu zinafanya kazi digitary yaani kama computer tu, kama computer ina RAM , Harddisk the same to brain zetu.
Ndo maana TCRA na dunia yote ilibadilisha teknology kutoka analogue kwenda digital lengo ni ku connect human brain with machine kwa vile zote zinafanya kazi sawa sawa na ndio hicho kinachokwenda kufanyika duniani kote kupitia chanjo ya Covi19, hii ni chanjo yenye microchip (inatumia nanotechnology) ya Artificial intelligent (huandikwa Ai) ili kuwaconnect binadamu wote kwenye global computer..
Watu wajinga wasio na "awareness" wanajipeleka kwenye hizi chanjo bila kujua agenda yake ni nini ( nishakuambia)
Wameudanganya ulimwengu (agenda imetoka kwa Lucifer) kwa kuleta agenda kupitia Media (Mainstream media zote duniani ni mali yao) ambapo wametumia njia iitwayo PRS ( Problem , Reaction , Solution) yaani unaanzisha problem, public ina React then inaomba msaada ambapo wao wenyewe wanakuja na Solution ambayo ndio Chanjo.
Unapobisha bila kufanya uchunguzi ni kujionyesha una kiwango cha juu cha ujinga.
Mambo ni mengi.
Kila unapoleta jambo jipya kwa "Binadamu" wajinga wa leo ni kupinga kwa vile hilo jambo halijaandikwa kwenye Education (mind programming) au dini (mind control programming)
Ndo maana hata Authority inakuja na agenda yake na kusema jambo hili ni la kitaalamu kwa vile Goverments pia ni mali ya hizi Secret Society ambao wana agenda hii ya Lucifer.
Sijui niandike kitabu?
Na microchip haiwez kufanya mind controlling hakuna kifaa wala kitu chochote kinachoweza kumtawala binadam bila yeye mwenyewe kuridhia na ikitokea hivo sasa huyu binadam ataenda jehanam kwa kosa lipi wakati hakuwa yeye n microchip ilokuwa ikimtawala?? Microchip haiwez kutawala ubongo wa mwanadam lbda useme ina weza kufanya location kwa kuwa na GPS
 
Usibishe kitu kama hujui...ujinga wake usije kuuleta humu...nadhani kushika sana dini kumekufanya kuwa mjinga, utakuta mtu kasoma shule na kuwa Dk au profesa lakini amekumbatia dini na kubaki na ujinga wake..
Unafahamu Artificial Intelligence zinavyofanya kazi? Hizi Semiconductors zina "awareness of itself" zinajua unachokiwaza na unachokifanya..hata sisi binadamu ni just "biological computer" na brain zetu zinafanya kazi digitary yaani kama computer tu, kama computer ina RAM , Harddisk the same to brain zetu.
Ndo maana TCRA na dunia yote ilibadilisha teknology kutoka analogue kwenda digital lengo ni ku connect human brain with machine kwa vile zote zinafanya kazi sawa sawa na ndio hicho kinachokwenda kufanyika duniani kote kupitia chanjo ya Covi19, hii ni chanjo yenye microchip (inatumia nanotechnology) ya Artificial intelligent (huandikwa Ai) ili kuwaconnect binadamu wote kwenye global computer..
Watu wajinga wasio na "awareness" wanajipeleka kwenye hizi chanjo bila kujua agenda yake ni nini ( nishakuambia)
Wameudanganya ulimwengu (agenda imetoka kwa Lucifer) kwa kuleta agenda kupitia Media (Mainstream media zote duniani ni mali yao) ambapo wametumia njia iitwayo PRS ( Problem , Reaction , Solution) yaani unaanzisha problem, public ina React then inaomba msaada ambapo wao wenyewe wanakuja na Solution ambayo ndio Chanjo.
Unapobisha bila kufanya uchunguzi ni kujionyesha una kiwango cha juu cha ujinga.
Mambo ni mengi.
Kila unapoleta jambo jipya kwa "Binadamu" wajinga wa leo ni kupinga kwa vile hilo jambo halijaandikwa kwenye Education (mind programming) au dini (mind control programming)
Ndo maana hata Authority inakuja na agenda yake na kusema jambo hili ni la kitaalamu kwa vile Goverments pia ni mali ya hizi Secret Society ambao wana agenda hii ya Lucifer.
Sijui niandike kitabu?
Mtu pekee awezaye kukubali kuwa robot anaweza kusoma akili au ufaham wa mwanadam n yule ambae hakuielewa biologia ety robot asome mawazo ya aliyemuumba duuuh n sawa na ww kusema unaweza soma mawazo ya MUNGU au ety shetan aweze kujua awazacho MUNGU impossible hiyo AI haiwez full stop
 
Hivyo vingine vinaweza kuwa kweli lakini kwenye kusoma fikra zako na kujua exactly unachokifikiria at the time ni impossible even in 200 years na kama ikiwezekana kwa asilimia kubwa itakuwa ni prediction.
Maybe in the next 1000 years.

Maybe itaweza kusoma hisia kwa kuangalia facial expression mfano una huzuni, hasira, furaha nk vitu ambavyo hata mtoto anaweza tambua.
Au Labda kama watakupandikiza chips zao au kujua history ya maisha yako na mambo unayofanya kila siku labda data kutoka kwenye simu yako. Then hapo sawa lakini bado itakuwa ni prediction.

Mpaka leo binadamu ameshindwa kujua how consciousness works ni mystery bado.
Hivyo kujua kwa exactness mtu mwengine anachofikiria ni impossible.

Kingine huyu jamaa ni mtu wa kick sana.
 
Na microchip haiwez kufanya mind controlling hakuna kifaa wala kitu chochote kinachoweza kumtawala binadam bila yeye mwenyewe kuridhia na ikitokea hivo sasa huyu binadam ataenda jehanam kwa kosa lipi wakati hakuwa yeye n microchip ilokuwa ikimtawala?? Microchip haiwez kutawala ubongo wa mwanadam lbda useme ina weza kufanya location kwa kuwa na GPS
Unaifahamu study inayoitwa Dianetics au Scientology? Acha ujinga wako.
Kuna taasisi inaitwa "Mkutra" ina deal na Mind Control Projects na imeharibu wengi sana, ni kitengo cha CIA.....ngoja nisienndelee, sidhani kama unaongea kwa akili zako
 
Hivyo vingine vinaweza kuwa kweli lakini kwenye kusoma fikra zako na kujua exactly unachokifikiria at the time ni impossible even in 200 years na kama ikiwezekana kwa asilimia kubwa itakuwa ni prediction.
Maybe in the next 1000 years.

Maybe itaweza kusoma hisia kwa kuangalia facial expression mfano una huzuni, hasira, furaha nk vitu ambavyo hata mtoto anaweza tambua.
Au Labda kama watakupandikiza chips zao au kujua history ya maisha yako na mambo unayofanya kila siku labda data kutoka kwenye simu yako. Then hapo sawa lakini bado itakuwa ni prediction.

Mpaka leo binadamu ameshindwa kujua how consciousness works ni mystery bado.
Hivyo kujua kwa exactness mtu mwengine anachofikiria ni impossible.

Kingine huyu jamaa ni mtu wa kick sana.
Ushawahi kucheza Video game ambazo ni Visual Reality? Au wanafunzi wanaojifunza urubani wanapokuwa kwenye simulator unajua kinachofanyika ni nini kwenye brain yako hadi unashindwa kutofautisha reality na fiction?
Ungekuwa unafahamu brain inavofanya kazi usingeleta ujinga wako hapo wa kutojua, ni afadhali ujifanye mjinga ili uelimishwe kuliko kujifanya unajua..
Brain inafanya kazi as a decoding system...yaani hata hicho unacho perceive as reality kipo in a form of a frequency.
Huu mwili una perceive reality through sensors ( 5 senses).
Hizi sensor zina shirikiana na brain ku decode frequencies na unatambua kitu.
Hivyo hata hizo Ai machines zimetengenezwa kwa style hiyo..
Hii body including brain hurusha mawimbi ( frequency) ambayo yanaweza kuwa hacked na decoding system na kuona rality.
Ni kama Tv yako inavo decode frequecies na kuona picha na sauti kwenye screen yako.
Brain pia inafanya hivyo hivyo, brain ina decode afu unaona kwenye screen ambayo tunaitwa ulimwengu
 
Hivyo hata hizo Ai machines zimetengenezwa kwa style hiyo..
You know I thought you were smart but you're deluded asf.

Na sidhani hata kama unajua how AI works and how they come to function.

Simple definition.
AI ni program ambayo imekuwa programed kugather vast amount of information through its experiences to complete a specific task kutokana na hizo information ambazo ziko in its memory.
Then manifested as learning and intelligence.

Well technically is just a goddamn machine ambayo ni zao la human brain.

Human brain is the most complicated structure in the history of humankind.
There are billions of neurons in your brain zinazosababisha wewe ujitambue.

So huwezi kuja from nowhere na conspiracy theories zako ambazo umeziokota from modest websites then useme AI zimetengezwa hivyo hivyo.

To believe that you must be either stupid or crazy and stupid at the same time.
Hii body including brain hurusha mawimbi ( frequency) ambayo yanaweza kuwa hacked na decoding system na kuona rality.
Ni kama Tv yako inavo decode frequecies na kuona picha na sauti kwenye screen yako.
Seriously

Yaani ubongo na mwili unarusha frequency ambazo zinaweza kuwa hacked?
Who the hell told you that?

Do you even know what reality is?

Our brains perceives reality as what it is.
Na ubongo haufanyi kazi as a decoding system bali una act as a receiver of reality.
Sababu reality is something that actually exists as what it is.

So as long as reality exists as actually what it is and the human brain acts as a receiver of reality from its sensors then nothing can penetrate that connection and there's nothing to be hacked.

Hivyo ubongo una act as receiver only na sio output of anything.

Nakuuliza swali unajuaje kama wewe ni wewe?
Ushawahi kucheza Video game ambazo ni Visual Reality? Au wanafunzi wanaojifunza urubani wanapokuwa kwenye simulator unajua kinachofanyika ni nini kwenye brain yako hadi unashindwa kutofautisha reality na fiction?
Unaposema virtual basi tayari ubongo unajua sio reality.

Simple use of critical thinking.
Ungekuwa unafahamu brain inavofanya kazi usingeleta ujinga wako hapo wa kutojua, ni afadhali ujifanye mjinga ili uelimishwe kuliko kujifanya unajua..
Yeah.

Unataka kumuelimisha mjinga kwamba human body and brain vinatoa mawimbi ambayo yanaweza kuwa hacked.

What the hell?
 
Ety mind control imemuharibu nan eb taja mfano wa watu walioharibikiwa na mind control ( lakin usitaje wa kwenye movie)😇😇🤣🤣

Unaifahamu study inayoitwa Dianetics au Scientology? Acha ujinga wako.
Kuna taasisi inaitwa "Mkutra" ina deal na Mind Control Projects na imeharibu wengi sana, ni kitengo cha CIA.....ngoja nisienndelee, sidhani kama unaongea kwa akili zak
 
Back
Top Bottom