A
Anonymous
Guest
Airtel kuna kitu wanaendelea kuwafanyia Wateja wao kwenye hizi router zao za 5G siyo kizuri.
Wanakwambia kuwa internet ni unlimited ila ukitumia kwa siku 20 internet wanaishusha speed, mfano mimi nalipia kifurushi cha 110,000 kwa mwezi ambacho speed yake ni 30 mbps ila kila nikitumia siku 20 internet wanaishusha speed.
Speed inakuwa 1.2mbps ikipanda sana inafika 2.7 mbps na nilienda ofisini kwao Morocco wakaniambia matumizi yangu ya Internet yapo juu wakasema hivi: “Mtu anayelipia kifurushi cha 110k wanampa 1TB akiitumia akaimaliza internet inashushwa speed”.
Je, wanakuwa na maana gani kusema unlimited internet? Hili jambo siyo sawa wawe wanawaambia ukweli wataje wao wakati wanawauzia hizo router.
Wanakwambia kuwa internet ni unlimited ila ukitumia kwa siku 20 internet wanaishusha speed, mfano mimi nalipia kifurushi cha 110,000 kwa mwezi ambacho speed yake ni 30 mbps ila kila nikitumia siku 20 internet wanaishusha speed.
Speed inakuwa 1.2mbps ikipanda sana inafika 2.7 mbps na nilienda ofisini kwao Morocco wakaniambia matumizi yangu ya Internet yapo juu wakasema hivi: “Mtu anayelipia kifurushi cha 110k wanampa 1TB akiitumia akaimaliza internet inashushwa speed”.
Je, wanakuwa na maana gani kusema unlimited internet? Hili jambo siyo sawa wawe wanawaambia ukweli wataje wao wakati wanawauzia hizo router.