GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,892
- 109,615
Hamjatutangaza vibaya Watanzania na Tanzania ya sasa ya Rais Samia kama 'Wendawazimu' wengine ambao Furaha yao na Ubingwa pekee walionao ni Kukusanya Waganga wa Kienyeji nchi nzima, Kukata Kiganja cha Mtoto Mkoani Tanga na kwenda Kuroga eneo hatari la Nungwi kwa Msaada wa Boti ya Taasisi Moja muhimu kwa Ulinzi wa Tanzania kwa Maagizo ya Bosi wao ambaye ni Shabiki wao Mkuu I'll tu waifunge Simba SC.
Unapata wapi uhalali wa 'Kujitapa' kabisa kuwa Wewe ni Timu Kubwa Tanzania huku Mechi ya Kwanza tu ya Michuano ya CAF CL 'umechapika' Nyumbani na Ugenini pamoja na Kukodi Ndege iliyojaa Waganga wa Kienyeji 23 huku Klabu ya Biashara United FC kutoka Mkoa wa 'Wanamume' Tanzania nzima ikiendelea tu Kuchanja Mbuga?
Heshima ya Tanzania, Watanzania na Wapenda Michezo (hasa Soka) nchini Tanzania inazidi Kukuzwa na Mafanikio ya Kivitendo yaliyojaa Mipango, Uzoefu wa Michuano ya Kimataifa na Mshikamano wa Viongozi, Wanachama, Wapenzi, Wadau na Mashabiki wa Kutukuka ( kama GENTAMYCINE ) hapa.
Asanteni sana Simba SC na Shukrani mno Biashara United FC kwa mlichokifanya juzi Ijumaa na leo Jumapili. Nyote kwa hakika 'mmetuheshimisha' Kunakotukuka Watanzania na Taifa letu la Tanzania.
Uzi huu ukikukwaza Kunywa Sumu Ufe.
Unapata wapi uhalali wa 'Kujitapa' kabisa kuwa Wewe ni Timu Kubwa Tanzania huku Mechi ya Kwanza tu ya Michuano ya CAF CL 'umechapika' Nyumbani na Ugenini pamoja na Kukodi Ndege iliyojaa Waganga wa Kienyeji 23 huku Klabu ya Biashara United FC kutoka Mkoa wa 'Wanamume' Tanzania nzima ikiendelea tu Kuchanja Mbuga?
Heshima ya Tanzania, Watanzania na Wapenda Michezo (hasa Soka) nchini Tanzania inazidi Kukuzwa na Mafanikio ya Kivitendo yaliyojaa Mipango, Uzoefu wa Michuano ya Kimataifa na Mshikamano wa Viongozi, Wanachama, Wapenzi, Wadau na Mashabiki wa Kutukuka ( kama GENTAMYCINE ) hapa.
Asanteni sana Simba SC na Shukrani mno Biashara United FC kwa mlichokifanya juzi Ijumaa na leo Jumapili. Nyote kwa hakika 'mmetuheshimisha' Kunakotukuka Watanzania na Taifa letu la Tanzania.
Uzi huu ukikukwaza Kunywa Sumu Ufe.