mama yuva
JF-Expert Member
- Aug 3, 2010
- 226
- 47
Mkuu kalou
Mimi sijawahi hata kupanda basi achilia mbali ndege!
Niko huku kijijini Bariadi ambako usafiri wetu ni mikokoteni ya kuvutwa na ng'ombe lakini tunaishi kwa furaha kwa sababu dunia yetu inaishia hapa kijijini.
Wakati tunasubiri tamko la serikali, siyo vibaya kuendelea kujiuliza maswali ya hapa na pale.
Mh! Sasa nimekuelewa sana.