Hofu yangu katika miezi iliyopita siwezi kusahau

abdullkadir

Member
Mar 10, 2024
27
20
Habari wanaJamiiForums leo nimeona niweke kitu changu ambacho kilinisumbua miezi kadhaa iliyopita.

Niende kwa ufupi niliwahi kuteleza ktk tamaa za vijana na wala sikuwahi kufikiria mbele lakini mwezi wa 10/2023 niliona humu JamiiForums watu wanahimizwa sana kupimwa kujua afya zao na mimi nilipatwa woga saana.

Niliwazaa baadaye nikaona bora nipime nijue afya yangu nikapima, majibu yakawa mazuri namshkuru Mungu nikarudi humu nikakuta watu wanasema lazima urudie hapo nilikuwa ktk wakati mgumu kweli hofu, wasiwasi, mpaka majibu nikawa nayaona kama siyo

Nilirudia tena kupima mwez wa 11/ 1 nikapima tena tarehe 30 mwezi wa 11 halafu wa 12 na mara ya mwisho ni mwezi wa 1 tarehe 30 mwaka huu 2024 nimetimiza miezi 3 ila siwezi kusahau yalionipita.

Nimepima mara zote hizo na majibu yangu ni mazuri namshkuru Mungu na nimeamua kujilinda na kusubiri ndoa tu.

NOTE: Nawashauri vijana wenzangu tujitunze na tuache zinaa
 
Habari wanaJamiiForums leo nimeona niweke kitu changu ambacho kilinisumbua miezi kadhaa iliyopita.

Niende kwa ufupi niliwahi kuteleza ktk tamaa za vijana na wala sikuwahi kufikiria mbele lakini mwezi wa 10/2023 niliona humu JamiiForums watu wanahimizwa sana kupimwa kujua afya zao na mimi nilipatwa woga saana.

Niliwazaa baadaye nikaona bora nipime nijue afya yangu nikapima, majibu yakawa mazuri namshkuru Mungu nikarudi humu nikakuta watu wanasema lazima urudie hapo nilikuwa ktk wakati mgumu kweli hofu, wasiwasi, mpaka majibu nikawa nayaona kama siyo

Nilirudia tena kupima mwez wa 11/ 1 nikapima tena tarehe 30 mwezi wa 11 halafu wa 12 na mara ya mwisho ni mwezi wa 1 tarehe 30 mwaka huu 2024 nimetimiza miezi 3 ila siwezi kusahau yalionipita.

Nimepima mara zote hizo na majibu yangu ni mazuri namshkuru Mungu na nimeamua kujilinda na kusubiri ndoa tu.

NOTE: Nawashauri vijana wenzangu tujitunze na tuache zinaa
Bado ndoa hazimalizi changamoto hii.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Habari wanaJamiiForums leo nimeona niweke kitu changu ambacho kilinisumbua miezi kadhaa iliyopita.

Niende kwa ufupi niliwahi kuteleza ktk tamaa za vijana na wala sikuwahi kufikiria mbele lakini mwezi wa 10/2023 niliona humu JamiiForums watu wanahimizwa sana kupimwa kujua afya zao na mimi nilipatwa woga saana.

Niliwazaa baadaye nikaona bora nipime nijue afya yangu nikapima, majibu yakawa mazuri namshkuru Mungu nikarudi humu nikakuta watu wanasema lazima urudie hapo nilikuwa ktk wakati mgumu kweli hofu, wasiwasi, mpaka majibu nikawa nayaona kama siyo

Nilirudia tena kupima mwez wa 11/ 1 nikapima tena tarehe 30 mwezi wa 11 halafu wa 12 na mara ya mwisho ni mwezi wa 1 tarehe 30 mwaka huu 2024 nimetimiza miezi 3 ila siwezi kusahau yalionipita.

Nimepima mara zote hizo na majibu yangu ni mazuri namshkuru Mungu na nimeamua kujilinda na kusubiri ndoa tu.

NOTE: Nawashauri vijana wenzangu tujitunze na tuache zinaa
 
Habari wanaJamiiForums leo nimeona niweke kitu changu ambacho kilinisumbua miezi kadhaa iliyopita.

Niende kwa ufupi niliwahi kuteleza ktk tamaa za vijana na wala sikuwahi kufikiria mbele lakini mwezi wa 10/2023 niliona humu JamiiForums watu wanahimizwa sana kupimwa kujua afya zao na mimi nilipatwa woga saana.

Niliwazaa baadaye nikaona bora nipime nijue afya yangu nikapima, majibu yakawa mazuri namshkuru Mungu nikarudi humu nikakuta watu wanasema lazima urudie hapo nilikuwa ktk wakati mgumu kweli hofu, wasiwasi, mpaka majibu nikawa nayaona kama siyo

Nilirudia tena kupima mwez wa 11/ 1 nikapima tena tarehe 30 mwezi wa 11 halafu wa 12 na mara ya mwisho ni mwezi wa 1 tarehe 30 mwaka huu 2024 nimetimiza miezi 3 ila siwezi kusahau yalionipita.

Nimepima mara zote hizo na majibu yangu ni mazuri namshkuru Mungu na nimeamua kujilinda na kusubiri ndoa tu.

NOTE: Nawashauri vijana wenzangu tujitunze na tuache zinaa
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom