Licha ya kuwa na timu nzuri,mipango mingi ya kimafia nje ya uwanja,na ushindi dhidi ya Simba,bado kumekuwa na kubebwa sana kwa hii timu ya serikali.
Ni kawaida wachezaji wa hii timu huwa na ujasiri wa kukaba kwa jinsi yoyote kwa kutumia maguvu sana.Akiingia vibaya akaanguka mwenyewe, mpinzani ataadhibiwa.Wakikabwa wakanyang'anywa mpira sehemu ya hatari,tegemea utasikia kipenga kwamba mchezaji wa timu pinzani ametumia nguvu kupita kiasi. Hii imekuwa ndiyo kawaida na kwa vyovyote vile watatafuta na kutafutiwa ushindi.
Akiwepo mchezaji kikwazo kwao,atapigwa kadi bila utaratibu.Haya yote yanatokea hasa wanapoona timu imewakazia. Sasa matukio mawili ya kadi nyekundu zisizohalali zinafutwa.Walipaswa kuona aibu sana kwa matukio kama haya.
Nimechoma kichaka tu,kenge wataanza kutoka ni kawaida
Ni kawaida wachezaji wa hii timu huwa na ujasiri wa kukaba kwa jinsi yoyote kwa kutumia maguvu sana.Akiingia vibaya akaanguka mwenyewe, mpinzani ataadhibiwa.Wakikabwa wakanyang'anywa mpira sehemu ya hatari,tegemea utasikia kipenga kwamba mchezaji wa timu pinzani ametumia nguvu kupita kiasi. Hii imekuwa ndiyo kawaida na kwa vyovyote vile watatafuta na kutafutiwa ushindi.
Akiwepo mchezaji kikwazo kwao,atapigwa kadi bila utaratibu.Haya yote yanatokea hasa wanapoona timu imewakazia. Sasa matukio mawili ya kadi nyekundu zisizohalali zinafutwa.Walipaswa kuona aibu sana kwa matukio kama haya.
Nimechoma kichaka tu,kenge wataanza kutoka ni kawaida