GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,115
- 110,505
Na usije tena maskani yetu Tegeta kwa swahiba wako mkuu na bingwa wa kucheza mechi za Ndondo Tanzania nzima Kudra Omary.
Binafsi kama mwana maskani wako hapo leo nakwambia nakuchukia rasmi kwa kuendekeza Uyanga wako na siyo kucheza mpira na kuisaidia timu yako ya KMC FC ipate ushindi dhidi ya Yanga SC.
Mateo Antony nakujua uwezo wako mkubwa wa mpira ulionao ila leo kwa makusudi, kwa Uyanga wako na mapenzi yako ya kujipendekeza kwa Yanga SC na matajiri wao wakuu GSM kwa makusudi ulikuwa unaua muvu za magoli.
Unachelewa kutoa pasi huku kwa kudhamiria kabisa ukicheza rafu za kipumbavu ili upate kadi nyekundu kisha utolewe na uidhoofishe KMC FC yako na ifungwe kiurahisi na Yanga SC.
Ulivyo mnafiki kila ukijua KMC FC inakutana/inacheza na Simba SC hata kama ukiwa majeraha huwa unalazimisha upangwe ucheze hata kwa kupigwa sindano ya ganzi!
Na huwa Unahangaika kwa kuhaha huku na kule mpaka kutufunga Simba SC, ila ukicheza na Yanga SC huwa unajivunja makusudi kiuchezaji na kucheza chini ya kiwango chako kama leo.
Kwanini humuigi mchezaji mwenzako wa KMC FC (na mwana Yanga SC lia lia) beki na nahodha wako msaidizi Andrew Vicent Dante Chikupe, ambaye kila akikutana na Yanga SC anayoipenda moyoni huwa anaikazia na kucheza kazi kazi muda wote mpaka kutufurahisha na sisi wengine?
Mnafiki mkubwa wewe, si utakuja kesho au wikiendi hapo (pale) maskani kwetu ambapo kwa hivi ulivyonikera ukija tu na kutaka kuivuta ile kitu yako kali, urithi wa Hayati Bob Marley hakyanani safari hii nakulengesha (nakuchoma) kwa polisi wa Tegeta ili Wakukamate.
Na kwa jinsi mdomo wako ulivyo mweusi na macho yako muda wote kuwa mekundu hutowakwepa polisi wapelelezi wa hapo na utaozea keko au segerea.
Umenikera mno tu, na usije maskani!
Binafsi kama mwana maskani wako hapo leo nakwambia nakuchukia rasmi kwa kuendekeza Uyanga wako na siyo kucheza mpira na kuisaidia timu yako ya KMC FC ipate ushindi dhidi ya Yanga SC.
Mateo Antony nakujua uwezo wako mkubwa wa mpira ulionao ila leo kwa makusudi, kwa Uyanga wako na mapenzi yako ya kujipendekeza kwa Yanga SC na matajiri wao wakuu GSM kwa makusudi ulikuwa unaua muvu za magoli.
Unachelewa kutoa pasi huku kwa kudhamiria kabisa ukicheza rafu za kipumbavu ili upate kadi nyekundu kisha utolewe na uidhoofishe KMC FC yako na ifungwe kiurahisi na Yanga SC.
Ulivyo mnafiki kila ukijua KMC FC inakutana/inacheza na Simba SC hata kama ukiwa majeraha huwa unalazimisha upangwe ucheze hata kwa kupigwa sindano ya ganzi!
Na huwa Unahangaika kwa kuhaha huku na kule mpaka kutufunga Simba SC, ila ukicheza na Yanga SC huwa unajivunja makusudi kiuchezaji na kucheza chini ya kiwango chako kama leo.
Kwanini humuigi mchezaji mwenzako wa KMC FC (na mwana Yanga SC lia lia) beki na nahodha wako msaidizi Andrew Vicent Dante Chikupe, ambaye kila akikutana na Yanga SC anayoipenda moyoni huwa anaikazia na kucheza kazi kazi muda wote mpaka kutufurahisha na sisi wengine?
Mnafiki mkubwa wewe, si utakuja kesho au wikiendi hapo (pale) maskani kwetu ambapo kwa hivi ulivyonikera ukija tu na kutaka kuivuta ile kitu yako kali, urithi wa Hayati Bob Marley hakyanani safari hii nakulengesha (nakuchoma) kwa polisi wa Tegeta ili Wakukamate.
Na kwa jinsi mdomo wako ulivyo mweusi na macho yako muda wote kuwa mekundu hutowakwepa polisi wapelelezi wa hapo na utaozea keko au segerea.
Umenikera mno tu, na usije maskani!