Hizi hapa hoja za Jaji wa Uganda aliyesimamia ukweli kule ICJ

1. Maneno haya yana maana yoyote kwako?

" .. for the implementation in good faith of all relevant Security Council resolutions by all parties concerned, ..."

2. Yakiwa na umuhimu wowote, haya hapa je?

View attachment 2885985

3. Hadi hapo bado huuoni msimamo wa huyo jaji kuwahusu hao wajomba zako?

Hiyo UN kwanza imetuhumiwa kuajiri magaidi wa dini.... Sasa hivi funds zimeanza kukatwa.
 
Acheni kujificha nyuma ya vitoto, vinafyekwa vyote tu.
Ninachokijua ni kwamba wayahudi wana huruma sana, pale Gaza 90% ya wakazi wake wanafungamana na hamas. Hivyo kwa kilichotokea 7/10 kama angekuwa amefanyiwa Russia huenda tungesha sahau habari za Gaza.
 
Kumbe jaji huyo wa Uganda UN anayoiongelea nayo mna matatizo nayo?

UN ilikosea kuajiri mazombi ya dini yenu, nayo yalihusika kuchinja Wayahudi.
Mpaka sasa mataifa mengi yakiwemo Japan yamekata misaada.
 
Ninachokijua ni kwamba wayahudi wana huruma sana, pale Gaza 90% ya wakazi wake wanafungamana na hamas. Hivyo kwa kilichotokea 7/10 kama angekuwa amefanyiwa Russia huenda tungesha sahau habari za Gaza.

Ndio kitu naambia watu humu kila siku, ingekua kafanyiwa Mchina au Mrusi mbona ingekua majanga, wale wanapapiga carpet bombing panasahauliwa.
 
na sikia wapalestina ukiwakaribisha wanageuka kuwa wenyeji na kukusumbua subiri wapelekwe kongo utaambiwa machifu na pimbi ndugu zao
 
UN ilikosea kuajiri mazombi ya dini yenu, nayo yalihusika kuchinja Wayahudi.
Mpaka sasa mataifa mengi yakiwemo Japan yamekata misaada.

Kuwashwa ni ugonjwa wahi hospitali:

IMG_20231216_143204.jpg


Wapitisha hizo siyo waajiriwa.
 
Shida moja watu hawataki kuona ukweli kuwa Hamas walianzisha uchokozi wenyewe ile oct 7, 2023, wengi wanaangalia tu matukio baada ya uchokozi.
Nafikiri wewe inawezekana umezaliwa juzi, historia ya miaka 70 ya eneo hilo hujui kabisa.
 
Hilo eneo lina historia iliyoandikwa ya zaidi ya miaka 3000. Kuna umuhimu wa kuvumiliana kwenye lugha tunazotumia
1706591799087.png

Tuachane na hiyo miaka elfu tatu maana kwa tafsiri za wengine basi waafrika watahesabika kama manyani.
Tuseme modern history ya eneo hilo, miaka 100 tu iliyopita.
 
Back
Top Bottom