Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,229
Hawa wadini ndi maana JPM sliposhinda walifurahi sana wanepata wa dini yao🤷🏻♀️utadhani anakwenda kuwasomea injili,, aliwanyoosha hadi basi,,Swali lako limeficha chuki ndanimo,mtakufa na chuki zenu za Udini haya tusema rais wa Zanzibar awe mkiristo wewe kabwela utanufahika na nini? kwa tarifa yako rais wa Zanzibar anachaguliwa Dodoma tena nahao wakiristo wenzio huyu mama samia walio mpa umakamu wa rais ndio hao nabado walio mpitisha juzi kuwa mwenyekiti wa ccm nihao wakiristo wenzio nenda huko kawaoji kulikoni wanampendlea chuki chuki chuki utakufa na ugonjwa wa moyo
Jpm alikua haangalii cha askofu,, alimuheshimu pengo peke yake,,
Lakini hata Pengo, ali appreciate kwamba, 'hata tukichagua wa dini yetu, haibadili kitu'😂😂