Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,728
- 5,768
Habarini,
Juzi kati nlitafakari kwanini utakuta binti mzuri tu mashallah, she is young, pretty, hana mtoto, unamfata unamtongoza anakukataa, unakubali maamuzi yake kiroho safi unaendelea na mishe zako.
Hee baadae unakuja sikia mtoto wake wa kwanza kazaa na mume wa mtu mwenye familia yake, au unakuta kazaa na kijana wa hovyo.
Mfano juzi kati kuna binti nlimtongoza akanikataa, baadae nakuja sikia amepewa ujauzito na bodaboda, tena bodaboda mwenyewe ni wale vijana wa hovyo kabisa, wanaokula gomba/mikokaa etc, yani hata bodaboda wenyewe wanamshangaa huyo binti alivo mzuri amekubali vipi kupewa ujauzito na kijana wa vile, ilhali kuna vijana wengine wa bodaboda kwenye kile kijiwe ni vijana wa maana wenye heshima zao, maana kwa story za mtaani jamaa ana mangeu ngeu usoni kwasababu ya spidi.
Mdada unamtongoza anakukataa, halafu anaenda kumkubalia mwanaume ambae ukijiangalia wewe na huyo mwanaume, wewe unajiona bora mara 5 ๐๐๐๐, kuna mwanaume hata akimchukua demu wako unakubali unaona kweli huyu mwana kanizidi, ila unakuta binti mzuri anamzalia kijana wa hovyo, au mume wa mtu, unajiuliza tu huyo binti atajenga future gani na mume wa mtu.
Halafu wakifika miaka 28 wanaanza kututafuta sisi ambao walitukataa walipokua in their prime ๐๐๐ wakidhani bado sisi ni wajinga ๐๐
Nilidhani hii phenomenon inanitokea mimi tu, ila baada ya kupita pita mitandaoni nkagundua kuwa hii ishu hata wanaume wengine inawakutaga.
Juzi kati nlitafakari kwanini utakuta binti mzuri tu mashallah, she is young, pretty, hana mtoto, unamfata unamtongoza anakukataa, unakubali maamuzi yake kiroho safi unaendelea na mishe zako.
Hee baadae unakuja sikia mtoto wake wa kwanza kazaa na mume wa mtu mwenye familia yake, au unakuta kazaa na kijana wa hovyo.
Mfano juzi kati kuna binti nlimtongoza akanikataa, baadae nakuja sikia amepewa ujauzito na bodaboda, tena bodaboda mwenyewe ni wale vijana wa hovyo kabisa, wanaokula gomba/mikokaa etc, yani hata bodaboda wenyewe wanamshangaa huyo binti alivo mzuri amekubali vipi kupewa ujauzito na kijana wa vile, ilhali kuna vijana wengine wa bodaboda kwenye kile kijiwe ni vijana wa maana wenye heshima zao, maana kwa story za mtaani jamaa ana mangeu ngeu usoni kwasababu ya spidi.
Mdada unamtongoza anakukataa, halafu anaenda kumkubalia mwanaume ambae ukijiangalia wewe na huyo mwanaume, wewe unajiona bora mara 5 ๐๐๐๐, kuna mwanaume hata akimchukua demu wako unakubali unaona kweli huyu mwana kanizidi, ila unakuta binti mzuri anamzalia kijana wa hovyo, au mume wa mtu, unajiuliza tu huyo binti atajenga future gani na mume wa mtu.
Halafu wakifika miaka 28 wanaanza kututafuta sisi ambao walitukataa walipokua in their prime ๐๐๐ wakidhani bado sisi ni wajinga ๐๐
Nilidhani hii phenomenon inanitokea mimi tu, ila baada ya kupita pita mitandaoni nkagundua kuwa hii ishu hata wanaume wengine inawakutaga.