Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,304
- 22,790
Wakuu,
Sasa hivi nimetulia ghetto nikipata kusikiliza gospel za hao watu wawili ,fanuel sedekia na Angela muriri chibalonza
Nimegundua hao watu walikuwa mbele ya muda.
Itachukua muda sana kuziba mapengo yao.
Je, kuna waliofanikiwa kuziba mapengo yao mpk sasa?
Sasa hivi nimetulia ghetto nikipata kusikiliza gospel za hao watu wawili ,fanuel sedekia na Angela muriri chibalonza
Nimegundua hao watu walikuwa mbele ya muda.
Itachukua muda sana kuziba mapengo yao.
Je, kuna waliofanikiwa kuziba mapengo yao mpk sasa?