Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 27,753
- 72,287
Kuna baadhi ya vijana wanakera sana na tabia ya kutaka wanunuliwe vilevi, ni aibu.
There is no need for that Bro, after he knew then what, wanna get respect? Respect is earned but not that way I'm telling you, that day when he whined and uttered those unrespected word you were supposed to walk away blindly like nothing happened because he was not himself than "KISUNGURA" made him to.For sure hakukuwa na njia nyingine sahihi kumwonyesha who is me kiundani
asinge nielewa lakini kwa hii njia atanielewa vizuri kuanzia kesho
Badara Urie wewe unacheka😆😆😆😆Comments za wachangiaji zinachekesha
Hii comedy safi sanaJamaan.!
Kwa hiyo hapo huripo vuta kiti, rijamaa rikaanza kuria bira subila ya kulekebishwa.
Mbaya zaidi unakuta wewe hutumii alafu anakuombaKuna baadhi ya vijana wanakera sana na tabia ya kutaka wanunuliwe vilevi, ni aibu.
Hadithi za walevi ni kama hizo.Ujinga mwingi.Leo nilikuwa nimetoka ofisini Sasa kwa bahati mbaya kifurushi changu Cha mwezi kikawa kime niishia
Na Kibaya zaidi ninapo kwenda siwezi kwenda bila kuwa na mda wa maongezi
Nikaona ni vema nichukue vocha kwanza kabla Sija Anza safari yangu ya kwenda huko ninako taka kwenda
Eneo letu la kazi pembezoni Kuna sehemu ni grocery lakini pia Wana m.pesa na Huwa wanauza na voucher pia
Sasa nikafika pale nikawa kuta vijana baadhi wanapata vinywaji vyao pale nikawa salimia Kisha Nika agiza voucher
Wakati najiandaa kutoa Hera Kuna kijana mmoja miongoni mwa wale walio kuwa wame kaa pale Wana kunywa
akaniambia kwa kujiamini we brother ninunulie pombe."
Nika muuliza Mimi?
Akajibu ndio wewe hapo."
kwa sauti ya kukaza"
Sasa nika mtazama nikagundua Kwanza amelewa tayari japo so sana
lakini pili mda anao kunywa pombe ni mda wa kazi hakustahiri kuwa pale mda ule kwa kijana anaye jitafuta
badara yake alipaswa awe kazini au kutafta kazi ili kuitafta hatima yake ya jioni anapo ludi nyumbani
Nikajisemea moyoni kwamba angeniomba Hera ya kula alikiwa sahihi lakini pombe na kwa Hari hii aliyo nayo spaswi kumpa
Basi nika mjibu kwamba Sina Hera aisee Niko vibaya boss wangu,..
Chaajabu na cha kushangaza akadakia kwa sauti kubwa akaniambia afu we bigi nilikuwa nakuheshimu kumbe ni k...u...m...kabisa eti?""
Una vaa smart Hera hata ya pombe moja huna matako wewe"una nini wewe huna hata Mia hapo?
Aiseeh. Nilijikuta nime lipukwa na hasira za gafra
pembeni Kuna brother mmoja alikuwa ameshika chupa ya soda huku aki mshangaa yule jamaa
Nilitamani niichukue Ile chupa nimnyooshe kisawa sawa yule jamaa lakini nikaona si busara kwani jamaa amelewa itaonekana nilipigana na mlevi
na watu wote mle ndani walikuwa wameduwaa kwa mshangao
na istoshe na mfahamu fahamu kwani anashinda eneo la jirani na ofisini kwangu
Nilicho kifanya Nika waza haraka haraka nikaona huyu acha nimalizane nae kwa hakiri siwezi kimwacha hivi hivi huyu boya
Nika muuliza kwa upole kwamba Je! unataka nikuonyeshe nilicho nacho?
Akajibu kwa jazba na kujiamini ndio nionyeshe tuone unanini wewe?""
Nikachomoa wallet nikatoa shilingi lakimoja nikamuuliza umeniita k. Sindio?
unaweza kunionyesha hata robo au theruthi ya kiasi hiki au hata alfu mbili ya kisungura hicho unacho kunywa ?
Akabaki ametoa jicho tuu huku akitazama Hera nilizo kuwa nimezi shika kwa macho ya uroho
nikamwangalia nikaona huyu boya kalowa tayari
Nika muuliza Tena kwa upole nikasema Sasa ndugu yangu unaniitaje Mimi k...u..m...a. wakati huna hata alfu mbili mfukoni af mtoto wa kiume?
Nikakuta kazu baa na Ana Anza kujiregeza Kama mtoto wakike ambaye yupo tayari kutoa tunda
Nika mtazama Nika kaa kwenye kiti Kisha nika mwambia.
Sasa nilikuwa na haraka lakini naona leo acha tupige story kwani hatu fahamiani vizuri au sio?
Akaitikia fresh big Mani kwa sauti ya puani.
Nika muuliza hiyo pombe Bei gani kwani mpaka tunafikia hatua ya kutuka Nana boss wangu?
akadakia buku mbili tuu big Mani"
nika mwabia Tena kwa upole unaone Kama una hamu Sana na pombe mwanangu au sio?
Akajibu Sana brother" nikaona hazija mkaa sawa bado huyu.
Nika mwambia yule brother mwenye Ile ofisi naomba umpe huyu jamaa visungura kumi af namimi hapa nipe maji ya bariidi tuendelee kupiga story na jamaa yangu hapa
Yule mhudumu akamuuliza yule jamaa huku akimkazia macho eti eti nikupe visungura kumi uta maliza ?
jamaa likajibu lete hizo namaliza mwenyewe na hakuna mtu kugongea nilijuatu atani nunulia nikimchokonoa huyu big mani huku liki cheka cheka
Nika mwitikia au sio mi mwenyewe nilijua unatania tu haukuwa siliasi huku nikimkenulia meno kinoko
Basi Akaletewa pombe zake bwana na mimi Nika mwambia jitahidi umalize ukishindwa utazilipia mwenyewe lakini huku nikiwa nime mkazia sura kidogo
Likaitikia mbona Cha mtoto hiziii.basi nikasema sawa
akapiga yakwanza kufika ya tano nikakuta jamaa Ana Anza kulegea hata story nnazo mpigisha anashindwa kujibu
Haukupita mda Sana Yule mhudumu akatoka nje
Ile ana Rudi hajakaa hata dakika mbili akaja mtendaji ananiambia nimeskia habari yako bwana killing machine
Naomba Kama mtendaji wako na tuna heshimiana msamehe kijana huyu
asije aka umaliza mwendo kesho serikali ikatu dai mtu wao
Nika mwambia yule mtendaji amuulize amekubari kushindwa/katosha?
jamaa akaitikia kwa kunyenyua kichwa mzee akasema Basi mwache
Skuongea kitu wakuu zaidi ya kuwaambia vijana wengine waendelee kunywa zilizo Baki
Nika mtuma na kijana mmoja akanunue maziwa mabichi Lita moja wamnyweshe ndugu yangu iwapo Hari yake itaendelea kuwa mbaya zaidi Kisha nikaishia zangu
Sasa mpaka Sasa najiuliza huyu jamaa kwanini alifanya vile kwangu?
Je watu Kama Hawa Huwa wana jiamini Nini kufanya hivyo?
Ningeomba Kama Kuna wataaram wa mambo kama haya watufafa nulie kidogo
kwamba kwanini mtu ana mchukia/au kumzoea mtu ambaye hajawai hata kupiga nae hata story?
Na kingine nikwamba..
Kiukweli kahera kangu kame niuma Ila hata moyo wangu naona umejawa na tabasamu mwanana humu ndani kwangu..,,
Niwatakie jioni njema wakuu zangu 🙏🙏🙏
Shukuru sana Mungu kukuepusha na jaziba kuliko hayo mengine yaliyofuatia.Leo nilikuwa nimetoka ofisini Sasa kwa bahati mbaya kifurushi changu Cha mwezi kikawa kime niishia
Na Kibaya zaidi ninapo kwenda siwezi kwenda bila kuwa na mda wa maongezi
Nikaona ni vema nichukue vocha kwanza kabla Sija Anza safari yangu ya kwenda huko ninako taka kwenda
Eneo letu la kazi pembezoni Kuna sehemu ni grocery lakini pia Wana m.pesa na Huwa wanauza na voucher pia
Sasa nikafika pale nikawa kuta vijana baadhi wanapata vinywaji vyao pale nikawa salimia Kisha Nika agiza voucher
Wakati najiandaa kutoa Hera Kuna kijana mmoja miongoni mwa wale walio kuwa wame kaa pale Wana kunywa
akaniambia kwa kujiamini we brother ninunulie pombe."
Nika muuliza Mimi?
Akajibu ndio wewe hapo."
kwa sauti ya kukaza"
Sasa nika mtazama nikagundua Kwanza amelewa tayari japo so sana
lakini pili mda anao kunywa pombe ni mda wa kazi hakustahiri kuwa pale mda ule kwa kijana anaye jitafuta
badara yake alipaswa awe kazini au kutafta kazi ili kuitafta hatima yake ya jioni anapo ludi nyumbani
Nikajisemea moyoni kwamba angeniomba Hera ya kula alikiwa sahihi lakini pombe na kwa Hari hii aliyo nayo spaswi kumpa
Basi nika mjibu kwamba Sina Hera aisee Niko vibaya boss wangu,..
Chaajabu na cha kushangaza akadakia kwa sauti kubwa akaniambia afu we bigi nilikuwa nakuheshimu kumbe ni k...u...m...kabisa eti?""
Una vaa smart Hera hata ya pombe moja huna matako wewe"una nini wewe huna hata Mia hapo?
Aiseeh. Nilijikuta nime lipukwa na hasira za gafra
pembeni Kuna brother mmoja alikuwa ameshika chupa ya soda huku aki mshangaa yule jamaa
Nilitamani niichukue Ile chupa nimnyooshe kisawa sawa yule jamaa lakini nikaona si busara kwani jamaa amelewa itaonekana nilipigana na mlevi
na watu wote mle ndani walikuwa wameduwaa kwa mshangao
na istoshe na mfahamu fahamu kwani anashinda eneo la jirani na ofisini kwangu
Nilicho kifanya Nika waza haraka haraka nikaona huyu acha nimalizane nae kwa hakiri siwezi kimwacha hivi hivi huyu boya
Nika muuliza kwa upole kwamba Je! unataka nikuonyeshe nilicho nacho?
Akajibu kwa jazba na kujiamini ndio nionyeshe tuone unanini wewe?""
Nikachomoa wallet nikatoa shilingi lakimoja nikamuuliza umeniita k. Sindio?
unaweza kunionyesha hata robo au theruthi ya kiasi hiki au hata alfu mbili ya kisungura hicho unacho kunywa ?
Akabaki ametoa jicho tuu huku akitazama Hera nilizo kuwa nimezi shika kwa macho ya uroho
nikamwangalia nikaona huyu boya kalowa tayari
Nika muuliza Tena kwa upole nikasema Sasa ndugu yangu unaniitaje Mimi k...u..m...a. wakati huna hata alfu mbili mfukoni af mtoto wa kiume?
Nikakuta kazu baa na Ana Anza kujiregeza Kama mtoto wakike ambaye yupo tayari kutoa tunda
Nika mtazama Nika kaa kwenye kiti Kisha nika mwambia.
Sasa nilikuwa na haraka lakini naona leo acha tupige story kwani hatu fahamiani vizuri au sio?
Akaitikia fresh big Mani kwa sauti ya puani.
Nika muuliza hiyo pombe Bei gani kwani mpaka tunafikia hatua ya kutuka Nana boss wangu?
akadakia buku mbili tuu big Mani"
nika mwabia Tena kwa upole unaone Kama una hamu Sana na pombe mwanangu au sio?
Akajibu Sana brother" nikaona hazija mkaa sawa bado huyu.
Nika mwambia yule brother mwenye Ile ofisi naomba umpe huyu jamaa visungura kumi af namimi hapa nipe maji ya bariidi tuendelee kupiga story na jamaa yangu hapa
Yule mhudumu akamuuliza yule jamaa huku akimkazia macho eti eti nikupe visungura kumi uta maliza ?
jamaa likajibu lete hizo namaliza mwenyewe na hakuna mtu kugongea nilijuatu atani nunulia nikimchokonoa huyu big mani huku liki cheka cheka
Nika mwitikia au sio mi mwenyewe nilijua unatania tu haukuwa siliasi huku nikimkenulia meno kinoko
Basi Akaletewa pombe zake bwana na mimi Nika mwambia jitahidi umalize ukishindwa utazilipia mwenyewe lakini huku nikiwa nime mkazia sura kidogo
Likaitikia mbona Cha mtoto hiziii.basi nikasema sawa
akapiga yakwanza kufika ya tano nikakuta jamaa Ana Anza kulegea hata story nnazo mpigisha anashindwa kujibu
Haukupita mda Sana Yule mhudumu akatoka nje
Ile ana Rudi hajakaa hata dakika mbili akaja mtendaji ananiambia nimeskia habari yako bwana killing machine
Naomba Kama mtendaji wako na tuna heshimiana msamehe kijana huyu
asije aka umaliza mwendo kesho serikali ikatu dai mtu wao
Nika mwambia yule mtendaji amuulize amekubari kushindwa/katosha?
jamaa akaitikia kwa kunyenyua kichwa mzee akasema Basi mwache
Skuongea kitu wakuu zaidi ya kuwaambia vijana wengine waendelee kunywa zilizo Baki
Nika mtuma na kijana mmoja akanunue maziwa mabichi Lita moja wamnyweshe ndugu yangu iwapo Hari yake itaendelea kuwa mbaya zaidi Kisha nikaishia zangu
Sasa mpaka Sasa najiuliza huyu jamaa kwanini alifanya vile kwangu?
Je watu Kama Hawa Huwa wana jiamini Nini kufanya hivyo?
Ningeomba Kama Kuna wataaram wa mambo kama haya watufafa nulie kidogo
kwamba kwanini mtu ana mchukia/au kumzoea mtu ambaye hajawai hata kupiga nae hata story?
Na kingine nikwamba..
Kiukweli kahera kangu kame niuma Ila hata moyo wangu naona umejawa na tabasamu mwanana humu ndani kwangu..,,
Niwatakie jioni njema wakuu zangu 🙏🙏🙏
Hata kama unatumia sio ustaarabu kumlazimisha mtu akufanyie kitu alafu akisema hana au aiwezekani unamtolea maneno ya kejeli na matusi.Mbaya zaidi unakuta wewe hutumii alafu anakuomba
Mkuu kwani Watanzania wote muda wa kufanya kazi au kuwa ofisini huwa unafanana???kwamba hakuna ambao wao ofisini wanaingia Usiku??Leo nilikuwa nimetoka ofisini Sasa kwa bahati mbaya kifurushi changu Cha mwezi kikawa kime niishia
Na Kibaya zaidi ninapo kwenda siwezi kwenda bila kuwa na mda wa maongezi
Nikaona ni vema nichukue vocha kwanza kabla Sija Anza safari yangu ya kwenda huko ninako taka kwenda
Eneo letu la kazi pembezoni Kuna sehemu ni grocery lakini pia Wana m.pesa na Huwa wanauza na voucher pia
Sasa nikafika pale nikawa kuta vijana baadhi wanapata vinywaji vyao pale nikawa salimia Kisha Nika agiza voucher
Wakati najiandaa kutoa Hera Kuna kijana mmoja miongoni mwa wale walio kuwa wame kaa pale Wana kunywa
akaniambia kwa kujiamini we brother ninunulie pombe."
Nika muuliza Mimi?
Akajibu ndio wewe hapo."
kwa sauti ya kukaza"
Sasa nika mtazama nikagundua Kwanza amelewa tayari japo so sana
lakini pili mda anao kunywa pombe ni mda wa kazi hakustahiri kuwa pale mda ule kwa kijana anaye jitafuta
badara yake alipaswa awe kazini au kutafta kazi ili kuitafta hatima yake ya jioni anapo ludi nyumbani
Nikajisemea moyoni kwamba angeniomba Hera ya kula alikiwa sahihi lakini pombe na kwa Hari hii aliyo nayo spaswi kumpa
Basi nika mjibu kwamba Sina Hera aisee Niko vibaya boss wangu,..
Chaajabu na cha kushangaza akadakia kwa sauti kubwa akaniambia afu we bigi nilikuwa nakuheshimu kumbe ni k...u...m...kabisa eti?""
Una vaa smart Hera hata ya pombe moja huna matako wewe"una nini wewe huna hata Mia hapo?
Aiseeh. Nilijikuta nime lipukwa na hasira za gafra
pembeni Kuna brother mmoja alikuwa ameshika chupa ya soda huku aki mshangaa yule jamaa
Nilitamani niichukue Ile chupa nimnyooshe kisawa sawa yule jamaa lakini nikaona si busara kwani jamaa amelewa itaonekana nilipigana na mlevi
na watu wote mle ndani walikuwa wameduwaa kwa mshangao
na istoshe na mfahamu fahamu kwani anashinda eneo la jirani na ofisini kwangu
Nilicho kifanya Nika waza haraka haraka nikaona huyu acha nimalizane nae kwa hakiri siwezi kimwacha hivi hivi huyu boya
Nika muuliza kwa upole kwamba Je! unataka nikuonyeshe nilicho nacho?
Akajibu kwa jazba na kujiamini ndio nionyeshe tuone unanini wewe?""
Nikachomoa wallet nikatoa shilingi lakimoja nikamuuliza umeniita k. Sindio?
unaweza kunionyesha hata robo au theruthi ya kiasi hiki au hata alfu mbili ya kisungura hicho unacho kunywa ?
Akabaki ametoa jicho tuu huku akitazama Hera nilizo kuwa nimezi shika kwa macho ya uroho
nikamwangalia nikaona huyu boya kalowa tayari
Nika muuliza Tena kwa upole nikasema Sasa ndugu yangu unaniitaje Mimi k...u..m...a. wakati huna hata alfu mbili mfukoni af mtoto wa kiume?
Nikakuta kazu baa na Ana Anza kujiregeza Kama mtoto wakike ambaye yupo tayari kutoa tunda
Nika mtazama Nika kaa kwenye kiti Kisha nika mwambia.
Sasa nilikuwa na haraka lakini naona leo acha tupige story kwani hatu fahamiani vizuri au sio?
Akaitikia fresh big Mani kwa sauti ya puani.
Nika muuliza hiyo pombe Bei gani kwani mpaka tunafikia hatua ya kutuka Nana boss wangu?
akadakia buku mbili tuu big Mani"
nika mwabia Tena kwa upole unaone Kama una hamu Sana na pombe mwanangu au sio?
Akajibu Sana brother" nikaona hazija mkaa sawa bado huyu.
Nika mwambia yule brother mwenye Ile ofisi naomba umpe huyu jamaa visungura kumi af namimi hapa nipe maji ya bariidi tuendelee kupiga story na jamaa yangu hapa
Yule mhudumu akamuuliza yule jamaa huku akimkazia macho eti eti nikupe visungura kumi uta maliza ?
jamaa likajibu lete hizo namaliza mwenyewe na hakuna mtu kugongea nilijuatu atani nunulia nikimchokonoa huyu big mani huku liki cheka cheka
Nika mwitikia au sio mi mwenyewe nilijua unatania tu haukuwa siliasi huku nikimkenulia meno kinoko
Basi Akaletewa pombe zake bwana na mimi Nika mwambia jitahidi umalize ukishindwa utazilipia mwenyewe lakini huku nikiwa nime mkazia sura kidogo
Likaitikia mbona Cha mtoto hiziii.basi nikasema sawa
akapiga yakwanza kufika ya tano nikakuta jamaa Ana Anza kulegea hata story nnazo mpigisha anashindwa kujibu
Haukupita mda Sana Yule mhudumu akatoka nje
Ile ana Rudi hajakaa hata dakika mbili akaja mtendaji ananiambia nimeskia habari yako bwana killing machine
Naomba Kama mtendaji wako na tuna heshimiana msamehe kijana huyu
asije aka umaliza mwendo kesho serikali ikatu dai mtu wao
Nika mwambia yule mtendaji amuulize amekubari kushindwa/katosha?
jamaa akaitikia kwa kunyenyua kichwa mzee akasema Basi mwache
Skuongea kitu wakuu zaidi ya kuwaambia vijana wengine waendelee kunywa zilizo Baki
Nika mtuma na kijana mmoja akanunue maziwa mabichi Lita moja wamnyweshe ndugu yangu iwapo Hari yake itaendelea kuwa mbaya zaidi Kisha nikaishia zangu
Sasa mpaka Sasa najiuliza huyu jamaa kwanini alifanya vile kwangu?
Je watu Kama Hawa Huwa wana jiamini Nini kufanya hivyo?
Ningeomba Kama Kuna wataaram wa mambo kama haya watufafa nulie kidogo
kwamba kwanini mtu ana mchukia/au kumzoea mtu ambaye hajawai hata kupiga nae hata story?
Na kingine nikwamba..
Kiukweli kahera kangu kame niuma Ila hata moyo wangu naona umejawa na tabasamu mwanana humu ndani kwangu..,,
Niwatakie jioni njema wakuu zangu
Nimeamini Mabonge hawanaga AkiliNajutia kusoma huu mkeka. Big harijui kuandika hera kwa kweri
Kiukweli nili waza nikafika mbali Sana mkuuSikufichi, kosa kubwa sana umefanya Mkuu. Ingekuwa mimi wewe nisingeongea jambo ningetoka niende kuchukua bakora au waya nikirudi ni za mgongo tu sipigi kwingine ni mgongo tu hadi ajikojolee uyo fala.
Usikubali mtu akukosee adabu kwa hali yoyote ile. Kuna siku nipo mahali mzee mmoja wa kama 60yrs hivi alitaka kuvuka mipaka aisee niliruka naye one way hakuamini kabisa. Uzuri watu walikuwa wanamshangaa alafu wanasikilizia ntafanyaje, mwisho wa siku kila mtu akaanza mletea shida yule mzee.
Ni vile tu siwezi kupigana kwenye umma ila kweli ukinikosea adabu lazima nikupige tu, hakuna namna ntakuacha.
Ni shida mkuuKuna baadhi ya vijana wanakera sana na tabia ya kutaka wanunuliwe vilevi, ni aibu.
Hivi eee?Nimeamini Mabonge hawanaga Akili
All is possible lakini Kama unaona umetumia umelewa na umeishiwa kwanini usiende home kujipumzisha?Mkuu kwani Watanzania wote muda wa kufanya kazi au kuwa ofisini huwa unafanana???kwamba hakuna ambao wao ofisini wanaingia Usiku??