greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,237
- 2,106
Jamaa yangu aliniuliza maswali kedekede juu ya hili neno hatifungani.
Nilianza kwa kumwambia "hatifungani hutolewa na Serikali/kampuni ili iweze kupata fedha za kujikimu, ambapo mtu au taasisi hukopesha Serikali/kwa kumiliki hizo hati fungani....
Akauliza: Kumbe nako ni uwekezaji, unalipwaje, usilipolipwa je, napataje faida, sasa mbona naskia wahindi na waarabu ndiyo wapo wengi huko, Kima cha chini cha kuwakopesha, nalipwa kila baada ya muda gani...?
Wanajamii, karibuni kwa majibu na maswali mengine...
Nilianza kwa kumwambia "hatifungani hutolewa na Serikali/kampuni ili iweze kupata fedha za kujikimu, ambapo mtu au taasisi hukopesha Serikali/kwa kumiliki hizo hati fungani....
Akauliza: Kumbe nako ni uwekezaji, unalipwaje, usilipolipwa je, napataje faida, sasa mbona naskia wahindi na waarabu ndiyo wapo wengi huko, Kima cha chini cha kuwakopesha, nalipwa kila baada ya muda gani...?
Wanajamii, karibuni kwa majibu na maswali mengine...