Tetesi: Hiki kinachofanyika hapa kwenye ligi kuu ya bongo ni dhahiri Yanga atakua bingwa kila msimu!

kipara kipya

JF-Expert Member
May 2, 2016
14,466
16,628
Nimeangalia michezo ya Yanga vs Ihefu(Singida black stars) na mchezo wa leo ni hakika hizi timu mbili zipo hapo kumtengenezea Yanga point 12 kila msimu, na hiyo imefanywa kwa makusudi na mmiliki wa hizo timu ambae ni mmoja wa baraza la wadhamini wa Yanga.

Wengi wasichokijua nyuma ya pazia mdhamini mkuu wa Yanga yeye ndio master mind wa mchongo wa kununua hizo timu anapenyeza pesa kwa kiongozi wake wa baraza la wadhamini, hivyo timu nyingine kila mtakavyopambana jueni Yanga tayari ana point sita mzunguuko wa kwanza na mzunguuko wa pili kwa Singida Fountain na Singida Black.

Mdhamini wa Yanga kaapa hata kama Singida zote zitashuka basi plan yake ni kununua timu tatu nyingine.
TFF nao pia wawe makini kwa kuwa huu mpango sio mzuri kwa afya ya soka la bongo ,huku timu zinashinda kimchongo zikienda huko kimataifa robo fainali ndio mafanikio yao.

Mnaishia kumtukana Motsepe ili hali mnajua magahamu mnayoyafanya, leo mpira kabla haujachezwa tayari unajua kabisa timu fulani inakwenda kufungwa kwa kuzote ni za mmiliki mmoja.
Kiukweli sio poa hata kidogo ligi inapoteza hadhi na mvuto!
 
Nimeangalia michezo ya yanga vs ihefu(singida black stars) na mchezo wa leo ni hakika hizi timu mbili zipo hapo kumtengenezea yanga point 12 kila msimu, na hiyo imefanywa kwa makusudi na mmiliki wa hizo timu ambae ni mmoja wa baraza la wadhamini wa yanga.

wengi wasichokijua nyuma ya pazia mdhamini mkuu wa yanga yeye ndio master mind wa mchongo wa kununua hizo timu anapenyeza pesa kwa kiongozi wake wa baraza la wadhamini ,
hivyo timu nyingine kila mtakavyopambana jueni yanga tayari ana point sita mzunguuko wa kwanza na mzunguuko wa pili kwa singida fountain na singida black.

Mdhamini wa yanga kaapa hata kama singida zote zitashuka basi plan yake ni kununua timu tatu nyingine.
Tff nao pia wawe makini kwa kua huu mpango sio mzuri kwa afya ya soka la bongo ,huku timu zinashinda kimchongo zikienda huko kimataifa robo fainali ndio mafanikio yao.

Mnaishia kumtukana motsepe ili hali mnajua magahamu mnayoyafanya, leo mpira kabla haujachezwa tayari unajua kabisa timu fulani inakwenda kufungwa kwa kuzote ni za mmiliki mmoja.
Kiukweli sio poa hata kidogo ligi inapoteza hadhi na mvuto!
Utopolo tuombe Mungu 20/04/2024 tuyapige tena 5 haya Makolokolo sababu yana midomo sana

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Nimeangalia michezo ya yanga vs ihefu(singida black stars) na mchezo wa leo ni hakika hizi timu mbili zipo hapo kumtengenezea yanga point 12 kila msimu, na hiyo imefanywa kwa makusudi na mmiliki wa hizo timu ambae ni mmoja wa baraza la wadhamini wa yanga.

wengi wasichokijua nyuma ya pazia mdhamini mkuu wa yanga yeye ndio master mind wa mchongo wa kununua hizo timu anapenyeza pesa kwa kiongozi wake wa baraza la wadhamini ,
hivyo timu nyingine kila mtakavyopambana jueni yanga tayari ana point sita mzunguuko wa kwanza na mzunguuko wa pili kwa singida fountain na singida black.

Mdhamini wa yanga kaapa hata kama singida zote zitashuka basi plan yake ni kununua timu tatu nyingine.
Tff nao pia wawe makini kwa kua huu mpango sio mzuri kwa afya ya soka la bongo ,huku timu zinashinda kimchongo zikienda huko kimataifa robo fainali ndio mafanikio yao.

Mnaishia kumtukana motsepe ili hali mnajua magahamu mnayoyafanya, leo mpira kabla haujachezwa tayari unajua kabisa timu fulani inakwenda kufungwa kwa kuzote ni za mmiliki mmoja.
Kiukweli sio poa hata kidogo ligi inapoteza hadhi na mvuto!
Umeshatuuzia point 3 first leg subiri tar 20 utuuzie 3 nyingine. Acha kelele
 
Nimeangalia michezo ya yanga vs ihefu(singida black stars) na mchezo wa leo ni hakika hizi timu mbili zipo hapo kumtengenezea yanga point 12 kila msimu, na hiyo imefanywa kwa makusudi na mmiliki wa hizo timu ambae ni mmoja wa baraza la wadhamini wa yanga.

wengi wasichokijua nyuma ya pazia mdhamini mkuu wa yanga yeye ndio master mind wa mchongo wa kununua hizo timu anapenyeza pesa kwa kiongozi wake wa baraza la wadhamini ,
hivyo timu nyingine kila mtakavyopambana jueni yanga tayari ana point sita mzunguuko wa kwanza na mzunguuko wa pili kwa singida fountain na singida black.

Mdhamini wa yanga kaapa hata kama singida zote zitashuka basi plan yake ni kununua timu tatu nyingine.
Tff nao pia wawe makini kwa kua huu mpango sio mzuri kwa afya ya soka la bongo ,huku timu zinashinda kimchongo zikienda huko kimataifa robo fainali ndio mafanikio yao.

Mnaishia kumtukana motsepe ili hali mnajua magahamu mnayoyafanya, leo mpira kabla haujachezwa tayari unajua kabisa timu fulani inakwenda kufungwa kwa kuzote ni za mmiliki mmoja.
Kiukweli sio poa hata kidogo ligi inapoteza hadhi na mvuto!
Comments reserved
 
Nimeangalia michezo ya yanga vs ihefu(singida black stars) na mchezo wa leo ni hakika hizi timu mbili zipo hapo kumtengenezea yanga point 12 kila msimu, na hiyo imefanywa kwa makusudi na mmiliki wa hizo timu ambae ni mmoja wa baraza la wadhamini wa yanga.

wengi wasichokijua nyuma ya pazia mdhamini mkuu wa yanga yeye ndio master mind wa mchongo wa kununua hizo timu anapenyeza pesa kwa kiongozi wake wa baraza la wadhamini ,
hivyo timu nyingine kila mtakavyopambana jueni yanga tayari ana point sita mzunguuko wa kwanza na mzunguuko wa pili kwa singida fountain na singida black.

Mdhamini wa yanga kaapa hata kama singida zote zitashuka basi plan yake ni kununua timu tatu nyingine.
Tff nao pia wawe makini kwa kua huu mpango sio mzuri kwa afya ya soka la bongo ,huku timu zinashinda kimchongo zikienda huko kimataifa robo fainali ndio mafanikio yao.

Mnaishia kumtukana motsepe ili hali mnajua magahamu mnayoyafanya, leo mpira kabla haujachezwa tayari unajua kabisa timu fulani inakwenda kufungwa kwa kuzote ni za mmiliki mmoja.
Kiukweli sio poa hata kidogo ligi inapoteza hadhi na mvuto!
Acha umbea na woga. Kama wewe ni Simba, jikite kujenga timu yako siyo kutafuta vijisababu vya kutaka kuihsusha Yanga kutokana na udhifu wenu. Kwa mantiki yako hata Mashujaa illifunga Simba ili kuifeva Yanga, Ihefu imaibana Simba ili kufeva Yanga, Magereza iliibana Simba ili kuifeva Yanga, Namungo iliibana Simba ili kuifeva Yanga.

Inasikistisha sana wafuasi wa Simba wanapotaka kudhalilisha ligi yote kwa sababu tu wao hawakupata. Hii mentality ya tukose wote haiwapeleki Simba mbele. Mwaka juzi tu Simba, Yanga pamoja na timu nyingi kwenye ligi kuu zilikuwa zinadhaminiwa na SportPesa ila kwa vile wakati huo Simba ilikuwa inafanya vizuri hawakuleta hiz lawama za kipumbavu. Leo wametelemshwa chini wanaanza kutafuta vijisababu nyokonyoko
 
Mm ningekuwa shabiki wa Simba ningenyamaza kabisa kuisema Yanga badala yake Ningedeal na timu yangu kama ni kuwasema wachezaji au viongozi au kocha anazingua lakini sio kutwa kuisema timu iliyokuzidi karibia kila kitu!
 
Nimeangalia michezo ya yanga vs ihefu(singida black stars) na mchezo wa leo ni hakika hizi timu mbili zipo hapo kumtengenezea yanga point 12 kila msimu, na hiyo imefanywa kwa makusudi na mmiliki wa hizo timu ambae ni mmoja wa baraza la wadhamini wa yanga.

wengi wasichokijua nyuma ya pazia mdhamini mkuu wa yanga yeye ndio master mind wa mchongo wa kununua hizo timu anapenyeza pesa kwa kiongozi wake wa baraza la wadhamini ,
hivyo timu nyingine kila mtakavyopambana jueni yanga tayari ana point sita mzunguuko wa kwanza na mzunguuko wa pili kwa singida fountain na singida black.

Mdhamini wa yanga kaapa hata kama singida zote zitashuka basi plan yake ni kununua timu tatu nyingine.
Tff nao pia wawe makini kwa kua huu mpango sio mzuri kwa afya ya soka la bongo ,huku timu zinashinda kimchongo zikienda huko kimataifa robo fainali ndio mafanikio yao.

Mnaishia kumtukana motsepe ili hali mnajua magahamu mnayoyafanya, leo mpira kabla haujachezwa tayari unajua kabisa timu fulani inakwenda kufungwa kwa kuzote ni za mmiliki mmoja.
Kiukweli sio poa hata kidogo ligi inapoteza hadhi na mvuto!
Acha wivu. Mbona nyie SIMBA tuliwafunga 5 ? Huriziki tu?
Na tarehe 20 tunawafunga magori ya kutosha
 
Back
Top Bottom