Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,706
- 23,125
Aisee hii mikopo n balaaa inatesa wamama wengi sana ingawa hawajajua
Majuzi nilikuwa napiga kwa shemeji yenu, ana simu mbili, ya kwanza ilibaki nyumbani ya pili piga kimya haipatikani na kaaga anaenda kanisani.
Nikamuuliza aliporudi vipi mbona umezima simu, sio mimi wenye simu zaoo sijalipia hehehee
Nikaamwambia kumbe umekopa mbona ujanjuza, najua umenunua
Mmh sikuwahi jua haya ila mnaojua wenza wenu wamekopa simu, hawa muda wowote na wahanga hawapatikani msije wadhuru mkawahisi vibaya.
Kwa style hii bora kausha damu
Majuzi nilikuwa napiga kwa shemeji yenu, ana simu mbili, ya kwanza ilibaki nyumbani ya pili piga kimya haipatikani na kaaga anaenda kanisani.
Nikamuuliza aliporudi vipi mbona umezima simu, sio mimi wenye simu zaoo sijalipia hehehee
Nikaamwambia kumbe umekopa mbona ujanjuza, najua umenunua
Mmh sikuwahi jua haya ila mnaojua wenza wenu wamekopa simu, hawa muda wowote na wahanga hawapatikani msije wadhuru mkawahisi vibaya.
Kwa style hii bora kausha damu