Dkt. Gwajima D

JF-Expert Member
Nov 28, 2015
602
3,973
IMG-20240515-WA0008.jpg

Wasalaam,

Ile siku ni Leo tarehe 15 Mei, 2024. Kila mkoa unaadhimisha na wilaya zake na kata zake na vijiji vyake.

Vyombo vya habari vinapaza sauti. Ukiona kimya uliko, basi kuna mtu hajatimiza tu wajibu wake wa kupaza sauti au wa kusikiliza sauti iliyopazwa.

IMG-20240515-WA0036.jpg

Sisi tuko Dodoma, Viwanja vya Chinangali. Kaulimbiu ni "Tukubali tofauti zetu kwenye familia kuimarisha malezi ya watoto".

Familia ni nguzi ya jamii na taifa na dunia kwa ujumla. Tujali familia zetu.

IMG-20240515-WA0046.jpg
IMG-20240515-WA0044.jpg

====

Pia soma:

-
Siku ya Familia 15 Mei yaja
 
Mheshimiwa Dkt. Gwajima D

Nina maneno machache tu yakusema.

Mbali ya kuwa kiongozi Wewe ni mlezi kwa 100% .

Nilikuwa natazama Leo asubuhi TBC, Nimependezwa sana na mahojiano yaliyokuwa yanaendelea.

Kuna wakati ukiwa kiongozi busara na hekima ni njia sahihi zaidi ya kuelimisha kuliko sheria.

Mama tunakupenda endelea kuchapa kazi.
Ahsante Sana kwa ufuatiliaji wa habari za jamii. Ahsante Sana kwa maneno ya baraka. Naamini tutaendelea kushirikiana kwa wakati wetu huu duniani, tupande mbegu njema na kuipalilia ikazae matunda na mavuno mema. Inawezekana maana tuko pamoja na wamoja🙏🏽🇹🇿.....
 
Wasalaam.

Ile siku ni Leo tarehe 15 Mei, 2024. Kila mkoa unaadhimisha na wilaya zake na kata zake na vijiji vyake.

Vyombo vya habari vinapaza sauti. Ukiona kimya uliko, basi kuna mtu hajatimiza tu wajibu wake wa kupaza sauti au wa kusikiliza sauti iliyopazwa.

Sisi tuko Dodoma, Viwanja vya Chinangali. Kaulimbiu ni "Tukubali tofauti zetu kwenye familia kuimarisha malezi ya watoto".

Familia ni nguzi ya jamii na taifa na dunia kwa ujumla. Tujali familia zetu....View attachment 2990633View attachment 2990635View attachment 2990636View attachment 2990637
thank you for updates ndugu waziri comrade Dr Gwagima D.

well done 👍
 
Ahsante Sana kwa ufuatiliaji wa habari za jamii. Ahsante Sana kwa maneno ya baraka. Naamini tutaendelea kushirikiana kwa wakati wetu huu duniani, tupande mbegu njema na kuipalilia ikazae matunda na mavuno mema. Inawezekana maana tuko pamoja na wamoja🙏🏽🇹🇿.....
Nakuombea Mungu akujalie Maisha marefu na kukupatia kibali cha kuwepo katika serikali zote kama Waziri zitakazoundwa wakati wa uhai wako. Wewe ni hadhina kubwa sana kwa Taifa letu. Nafurahishwa sana na utendaji wako pamoja na namna unavyoshughulikia mambo kwa haraka na kwa umakini mkubwa sana. wengine pia waige mfano wako.
 
Back
Top Bottom