Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,146
- 12,724
Bosi siyo hivyo ila naona wajuba wananichokoza hawa ma chasaka. As long as team chama mfu chadema wataendelea kumdhihaki Dkt Magufuli hata ktk umauti wake tuna deal nao, he was a figure head, na hichi ni kisasi cha kizazi chote cha chama mfu chini ya mbowe, we will never get tired kumtetea na kumsemea yaliyo mema Dkt Magufuli. Ila siku wakibadilika na kutambua Dkt Magufuli anahitaji heshima basi we will do the same kwa viongozi wao, otherwise, ni kisasi kisasi na Mungu wetu mkuu uzuri yupo upande wetu.Mujane acha makasiriko