rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,413
Kwa mara ya kwanza tangu kuisha uchaguzi mwezi uliopita nilipatwa na mshtuko mkubwa sana kusikia Halima pamoja na wenzake wametusaliti lakini nimetafakari sana na nikaja na uamuzi wangu binafsi,pamoja na yote hayo lakini bado Halima ni bonge la mwanamke shupavu sana ambaye wengi tumeshindwa kufikia level yake
kama binadam Halima ametufanyia hayo,Biblia inasema amelaaniwa amtumainiaye binadam na kumfanya nguzo yake,inasema tena Mungu sio kama binadam kwa sababu Binadam ana tabia ya kubadilika badilika,kwa sababu hiyo tusihangae sana alichofanya Halima kwa sababu ni Binadam nahisi kama ametuvunja moyo hasa ukizingatia tulikuwa tunasubiri maamuzi kutoka Bunge la Ulaya pamoja na Nchi za Ulaya na Marekani kufanya maamuzi,lakini nahisi hilo haliaathiri mipango inayoendelea pamoja na yote hayo nipende kwambia Halima Mdee maneno yafuatayo!!!!!
Ulijitoa sana katika safari nzima ya mabadiliko na demokrasia kwenye nchi yetu,ulishiriki kuelimisha uma wa watanzania kuhusu demokrasia na haki,nakushukuru sana kwa hilo japo umenivunja moyo lakini bado nakuheshimu sana sana na Mungu wangu ni shahidi
Nakutakia kila heri na mafanikio huko uendako,umefanya wajibu wako na kama binadamu umeanya maamuzi yako vilevile
Kwetu sisi mapambano bado yanaendela mpaka dakika ya mwisho mama,ubarikiwe tu na Mungu
kama binadam Halima ametufanyia hayo,Biblia inasema amelaaniwa amtumainiaye binadam na kumfanya nguzo yake,inasema tena Mungu sio kama binadam kwa sababu Binadam ana tabia ya kubadilika badilika,kwa sababu hiyo tusihangae sana alichofanya Halima kwa sababu ni Binadam nahisi kama ametuvunja moyo hasa ukizingatia tulikuwa tunasubiri maamuzi kutoka Bunge la Ulaya pamoja na Nchi za Ulaya na Marekani kufanya maamuzi,lakini nahisi hilo haliaathiri mipango inayoendelea pamoja na yote hayo nipende kwambia Halima Mdee maneno yafuatayo!!!!!
Ulijitoa sana katika safari nzima ya mabadiliko na demokrasia kwenye nchi yetu,ulishiriki kuelimisha uma wa watanzania kuhusu demokrasia na haki,nakushukuru sana kwa hilo japo umenivunja moyo lakini bado nakuheshimu sana sana na Mungu wangu ni shahidi
Nakutakia kila heri na mafanikio huko uendako,umefanya wajibu wako na kama binadamu umeanya maamuzi yako vilevile
Kwetu sisi mapambano bado yanaendela mpaka dakika ya mwisho mama,ubarikiwe tu na Mungu